Mseveni ashinda Urais tena
Yoweri Museveni ametangazwa kuwa Rais mteule wa Uganda Kwa mara nyingne tena baada ya kupata ushindi wa kura 5,851,037 sawa ...
Yoweri Museveni ametangazwa kuwa Rais mteule wa Uganda Kwa mara nyingne tena baada ya kupata ushindi wa kura 5,851,037 sawa ...
Jeshi la Magereza nchini limeokoa jumla ya Shilingi Bilioni 11, ikiwa ni gharama ya chakula cha wafungwa tangu lianze kujitegemea ...
Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile amewataka watendaji wa taasisi zilizochini ...
Mkuu wa Wilaya ya Urambo, Angelina Nkwingwa akipokea msaada wa mabati yenye thamani ya Shilingi Milioni 15 kutoka kwa Meneja ...
Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge ameliagiza Jiji la Dodoma kuhakikisha wanadhibiti ujenzi ...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichoketi ...
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani ...
Si kweli kuwa kila mwanaume ambaye unaingia naye katika mahusiano ni razima akuoe, nasema hivyo kwa sababu mwanaume mwenye nia ...
Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki jana usiku huko Ankara amepata chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa na Kampuni ya SINOVAC ya ...
Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Serikali imewataka wawekezaji wenye uwezo wa kuwekeza katika sekta ya mawasiliano kuja kuwekeza hapa nchini ...
Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Waziri wa Maji Mheshimiwa Juma Aweso amesitisha zoezi lililokuwa likiendelea kwa agizo la Mamlaka ya ...
Serikali imetoa vifaa na visaidizi maalum vya aina mbalimbali vyenye thamani ya Shilingi bilioni 3 kwa ajili ya wanafunzi 18,488, ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt.John Pombe Magufuli amekutana na Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza ...
Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali tabia ya watumishi wa sekta ya Afya kudanganya na badala yake amewataka ...
Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. ...
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amewataka wataalam wa Teknolojia ya Habari ...
MAMLAKA ya Maji Visiwani Zanzibar (ZAWA), kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu za Mkononi, wameingia makubaliano ambapo wateja wataanza kulipa ...
Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Mhe.Maalim Seif amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt John Pombe ...
Mvua zinazoendele Mtwara zimesababisha watu kukosa makazi ikiwa ni nyumba 177 zikisombwa na maji huku nyumba 315 zikijaa maji kutokana ...
Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Abdul Nondo, amesema kuwa ACT imejipanga katika kutetea wanufaika wa mkopo unaotolewa na ...
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.