KIGWANGALLA APOKEA TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA KOVA KUHUSU TUHUMA ZA MAUAJI YA TEMBO – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI TANZANIA

KIGWANGALLA APOKEA TAARIFA YA AWALI YA KAMATI YA KOVA KUHUSU TUHUMA ZA MAUAJI YA TEMBO

I am Magnifico by I am Magnifico
Jun 28, 2018
in HABARI TANZANIA
0 0
0
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

VIDEO
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akipokea taarifa
ya awali ya uchunguzi wa tuhuma za mauaji ya Tembo katika Ikolojia ya Ruaha-Rungwa
ambazo ziliripotiwa na kituo cha habari cha ITV-London mwaka 2017, kutoka kwa Mwenyekiti
wa Kamati Maalum aliyoiunda kuchunguza tuhuma hizo, Kamishna Mstaafu wa Jeshi
la Polisi, Suleiman Kova ofisini kwake Jijini Dodoma jana. Katikati ni Naibu Waziri
wa wizara hiyo, Japhet Hasunga na Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk. Iddi
Mfunda (kulia). 
Tuhuma hizo ziliwahusisha watumishi wa Serikali na Shirika la Umoja wa
Mataifa la Maendeleo Duniani (UNDP) kupitia mradi wa SPANEST waliokuwa
wakiufadhili.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) na Naibu
Waziri, Japhet Hasunga (katikati) wakipokea taarifa ya awali ya uchunguzi wa tuhuma
za mauaji ya Tembo katika Ikolojia ya Ruaha-Rungwa ambazo ziliripotiwa na kituo
cha habari cha ITV-London mwaka 2017, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati Maalum aliyoiunda
kuchunguza tuhuma hizo, Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi, Suleiman Kova
ofisini kwake Jijini Dodoma jana. 
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) na Naibu
Waziri, Japhet Hasunga (wa pili kulia) wakipokea taarifa ya awali ya uchunguzi
wa tuhuma za mauaji ya Tembo katika Ikolojia ya Ruaha-Rungwa ambazo ziliripotiwa
na kituo cha habari cha ITV-London mwaka 2017, kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati
Maalum aliyoiunda kuchunguza tuhuma hizo, Kamishna Mstaafu wa Jeshi la Polisi,
Suleiman Kova ofisini kwake Jijini Dodoma jana. Wengine ni wajumbe wa kamati hiyo, Julius
Kibebe, Kresensia Swai na Emmanuel Musamba (kushoto). 
Waziri wa Maliasili na
Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akimkabidhi Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo,
Dk. Iddi Mfunda taarifa hiyo kwa ajili ya utekelezaji wa mapendekezo ya kamati
hiyo.
Waziri wa Maliasili na
Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wajumbe wa kamati maalum
aliyoiunda kuchunguza tuhuma za mauaji ya Tembo ambazo ziliwahusisha watumishi
wa Serikali na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo Duniani (UNDP) kupitia mradi
wa SPANEST waliokuwa wakiufadhili. (Picha na Hamza Temba – Wizara ya Maliasili na Utalii).
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa
HABARI

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Waziri Gwajima amevitaka vituo vyote vya kutolea...

Read more
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Jan 19, 2021
Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Jan 19, 2021
Serikali kujenga vyuo vipya 33 vya VETA

Serikali kujenga vyuo vipya 33 vya VETA

Jan 18, 2021
RC Dodoma aongoza wenzake kwenye zoezi la upandaji miti

RC Dodoma aongoza wenzake kwenye zoezi la upandaji miti

Jan 18, 2021
Next Post

Kilichowakuta Ujerumani hakijawahi kuwapata tangu 1938

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

June 2018
M T W T F S S
« May   Jul »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In