Basi La BM Coach Lapinduka Likijaribu Kukikwepa Kichwa Cha Treni – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home AJALI

Basi La BM Coach Lapinduka Likijaribu Kukikwepa Kichwa Cha Treni

I am Magnifico by I am Magnifico
Mar 5, 2019
in AJALI
0 0
0
0
SHARES
67
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT


Basi la Kampuni ya BM Coach limepata ajali ya kupinduka jana Jumatatu, Machi 4, 2019 majira ya alasiri wakati likijaribu kukwepa Kichwa cha Treni (Kiberenge) maeneo ya Chekelei wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.

Kamanda wa polisi mkoa wa Tanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akielezea kuwa dereva wa Basi la BM Coach, akitoka Arusha kuelekea Morogogo alishindwa kusimama katika kivuko cha Treni eneo la Chekelei Mombo, barabara kuu ya Segera/Same.

Ameongeza kuwa, wakati kichwa cha Treni kikikaribia eneo hilo na ndipo basi hilo likagongwa na kulala ubavu huku kichwa hicho cha Garimoshi kikiendelea na safari bila kusimama.

Hakuna taarifa ya vifo kwa sasa isipokuwa abiria kadhaa wamejeruhiwa akiwemo dereva wa BM Coach ambaye ameumia sana. 

ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Meli Yateketea Kwa Moto Carlifonia, Watu Zaidi Ya 8 Wapoteza Maisha
AJALI

Meli Yateketea Kwa Moto Carlifonia, Watu Zaidi Ya 8 Wapoteza Maisha

by I am Magnifico
Sep 3, 2019
0

Meli yenye urefu wa mita 22 iliyokuwa...

Read more
Kevin Hart Apata Ajali na Kuumia Vibaya

Kevin Hart Apata Ajali na Kuumia Vibaya

Sep 2, 2019
MUME NA MKE WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MAFUTA YA PETROLI LINDI

MUME NA MKE WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MAFUTA YA PETROLI LINDI

Aug 16, 2019
PIKIPIKI YASABABISHA BASI LA ABOOD KUPATA AJALI MWANZA

PIKIPIKI YASABABISHA BASI LA ABOOD KUPATA AJALI MWANZA

Aug 9, 2019

TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX

Jun 28, 2019

WALIOKUWA WAKISAFIRISHA MITIHANI KAGERA WAFARIKI AJALINI

Jun 28, 2019
Next Post

Profesa Nathan Alexander asifiwa kwa kufundisha huku amembeba mtoto wa mwanafunzi wake

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2019
M T W T F S S
« Feb   Apr »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In