BUFFON: MLINDA MLANGO ASIYE NA BAHATI KATIKA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home #CHUKUAHII

BUFFON: MLINDA MLANGO ASIYE NA BAHATI KATIKA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA

I am Magnifico by I am Magnifico
Mar 15, 2019
in #CHUKUAHII, BUFFON, Champions League, GIANLUIG BUFFON, ITALY, JUVENTUS
0 0
0
0
SHARES
79
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Katika maisha ya soka kumekuwa na changamoto nyingi za hapa na pale mpaka ufikie malengo yangu au kiujumla. Maisha ya soka ni mafanikio ambayo leo hii utakumbukwa duniani na watu na itabaki kudumu milele na milele.
Ukiongelea moja ya makipa bora duniani huwezi kuliacha kutaja jina la goli kipa mkongwe Gianluig Buffon, moja ya makipa bora duniani kwa sasa wenye uwezo mkubwa na hata pia ni kiongozi akiwa uwanjani kwa maana ya kuwaongoza wenzake nini cha kufanya.
Buffon, ni moja ya makipa ambayo amekuwa hana bahati na kutwaa taji la michuano ya klabu Bingwa Barani Ulaya ndo kitu peke kinachomfanya mpaka leo asistafuu soka na kuamini kuwa ipo siku atashinda michuano hiyo? Kwa mara ya kwanza katika historia yake binadamu tunaishi kwa ndoto na kujituma kila kukicha ili tuweze kufanikiwa katika maisha .
Fainali ya mwaka 2003 pale katika dimba la Old Trafford kati ya Ac Milan dhidi ya Juventus, Buffon, alikuwa ni goli kipa wa Juventus, walipoteza kwa mikwaju ya penati .
Msimu wa mwaka 2015 walifika fainali tena kwenye michuano hiyo akiwa Juventus,walipoteza mbele ya Barcelona, kwa mabao 3-1.
Msimu wa mwaka 2016 walipoteza fainali ya klabu Bingwa Barani Ulaya kwa mabao 4-1.
Ukiangalia fainali zote aliopoteza Buffon, sio kama hana timu nzuri bali wanakutana na timu bora zaidi yao?ukirudi kwenye msimu wa mwaka 2016 wanamtoa Barcelona, kwenye hatua ya nusu fainali Barcelona ilikuwa inaundwa na MSN , Messi Suarez, na Neymar walikuwa kwenye ubora waliwasimamisha kwa dakika 180 wasiruhusu kupata bao?wengi waliamini kuwa huo mwaka wa Buffon, lakini mambo yalienda hovyo. 
Juventus ya msimu huo ilikuwa ina safu bora ya Ulinzi kwa maana ya BBC Bonucci, Brazagli, na Chiellin, walijikuta fainali wakipoteza mbele ya Real Madrid chini ya Cristiano Ronaldo. 
Buffon, aliamini katika imani yake aondoke Juventus,akatafuta changamoto nyengine ametua Paris Saint Germain, wametupwa nje kwenye michuano hiyo hatua ya 16 bora na Manchester United. 
 
Tags: MICHEZOPSGUEFA
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Nani anastahili Kuwa Mchezaji Bora Wa Wiki Wa Ligi Ya Mabingwa Barani Ulaya?
Champions League

Nani anastahili Kuwa Mchezaji Bora Wa Wiki Wa Ligi Ya Mabingwa Barani Ulaya?

by I am Magnifico
Sep 19, 2019
0

Baada ya mechi za ligi ya mabingwa...

Read more
Man City Wanaanza UEFA Leo Wakiwa Na Safu Ya Ulinzi Yenye Mashaka

Man City Wanaanza UEFA Leo Wakiwa Na Safu Ya Ulinzi Yenye Mashaka

Sep 18, 2019
Haya Ndio Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya 2019/20

Haya Ndio Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya 2019/20

Aug 30, 2019
Tetesi na Habari za soka barani Ulaya leo 30/08/2019

Tetesi na Habari za soka barani Ulaya leo 30/08/2019

Aug 30, 2019
Tetesi na Habari Za Soka Barani Ulaya leo 29/08/2019

Tetesi na Habari Za Soka Barani Ulaya leo 29/08/2019

Aug 29, 2019
SAMATTA: “Ni Heri Kucheza Kombe La Dunia Na Tanzania Kuliko Kushinda Champions League Na Genk”

SAMATTA: “Ni Heri Kucheza Kombe La Dunia Na Tanzania Kuliko Kushinda Champions League Na Genk”

Aug 21, 2019
Next Post

ANGALIA TRAILER LA MOVIE KALI YA AVENGERS 4 "END GAME" ITAKAYOTOKA MWAKA HUU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2019
M T W T F S S
« Feb   Apr »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In