Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk Tausi Kida (kulia) akisalimiana na baadhi ya washiriki kutoka Ubalozi wa Ufaransa wakati wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF)-juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bi Bella Bird akiongozana na mwenyeji wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk Tausi Kida kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano mara baada ya kuwasili kushiriki semina ya pamoja kati ya Benki hiyo na Taasisi hiyo juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk Tausi Kida akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki (hawapo pichani) wakati wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bi Bella Bird akitoa neno la ufunguzi wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mchumi wa Benki ya Dunia, Bw Yutaka Yoshino akitoa mada kuhusu safari ya Tanzania kuelekea uchumi kati wakati wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Dr Jehovaness Aikaeli kutoka Idara ya Uchumi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) akielezea umuhimu wa umma na sekta binafsi kushirikiana kutokana uhaba wa rasilimali wakati wa kujadili mada kwenye semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark tawi la Tanzania, Bw John Ulanga (wa pili kushoto) akizungumzia ukosefu wa masoko nchini Tanzania ambao unakwaza ukuaji wa kilimo ambao ndio uti wa mgongo kwenye viwanda wakati wa kujadili mada kwenye semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk Tausi Kida (kulia) akizungumzia umuhimu wa kuangalia rasilimali watu kwa kuzingatia weledi na elimu yao katika ushiriki wa kujenga uchumi wakati wa kujadili mada kwenye semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Shirikisho la wenye Viwanda Tanzania CTI Bw. Subhash Patel (wa pili kulia) akizungumza sheria na vikwazo mbalimbali vinachangia kukwamisha ukuaji wa sekta binafsi wakati wa kujadili mada kwenye semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Bi. True Schedvin (kulia) kutoka Ubalozi wa Sweden alisema katika safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati ni vyema Tanzania kuangalia mambo mbalimbali ikiwemo kazi, afya elimu na masoko wakati wa kujadili mada kwenye semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki akiuliza swali kwa wajadili wa mada wakati wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Msajili wa Hazina Dkt. Oswald Mashindano akifuatilia kwa umakini maoni yaliyokuwa yakiwasilishwa wakati wa semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mtendaji Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bi Bella Bird akifunga semina hiyo ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.
Pichani juu na chini ni sehemu ya wadau wa maendeleo,sekta binafsi pamoja na taasisi mbalimbali za serikali waliohudhuria semina ya pamoja kati ya Benki ya Dunia na ESRF juu ya safari ya Tanzania kuelekea uchumi wa kati iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam.