NI BARCELONA Vs JUVENTUS KATIKA KUIPATA SAINI YA BEKI MATTHIJS DE LIGT – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home DE LIGT

NI BARCELONA Vs JUVENTUS KATIKA KUIPATA SAINI YA BEKI MATTHIJS DE LIGT

I am Magnifico by I am Magnifico
Mar 19, 2019
in DE LIGT, FC BARCELONA, JUVENTUS
0 0
0
0
SHARES
81
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Mabingwa watetezi wa Serie A, klabu ya Juventus,  wameingia vitani dhidi ya Barcelona kuwania saini ya beki wa Kidachi kutoka klabu ya Ajax aitwaye Matthijs de Ligt. 
De Ligt ambaye pia anawindwa sana na mabingwa watetezi wa LALIGA, klabu ya FC Barcelona, ambao wapo tayari kumuuza beki wao Mfaransa Samuel Umtiti majira ya kiangazi na timu za jiji la Manchester zimeshaanza kuonyesha nia.
Taarifa zinasema kuwa kama Juventus watashindwa kumnasa Matthijs de Ligt, basi watahamishia nguvu zao zote kwa beki wa Benfica Ruben Dias na beki wa Atletico Madrid Stefan Savic. 
SOURCE: Tuttosport
Tags: MATTHIJS DE LIGTMICHEZOTETESI ZA USAJILI
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Sakata La Barca Na Atletico Kuhusu Usajili Wa Griezmann Limefikia Hapa
ANTOINE GRIEZMANN

Sakata La Barca Na Atletico Kuhusu Usajili Wa Griezmann Limefikia Hapa

by I am Magnifico
Sep 17, 2019
0

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na sakata...

Read more
Luis Enrique Afiwa Na Mtoto Wake wa Kike

Luis Enrique Afiwa Na Mtoto Wake wa Kike

Aug 30, 2019
Haya Ndio Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya 2019/20

Haya Ndio Makundi Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya 2019/20

Aug 30, 2019
Tetesi na Habari za soka Barani Ulaya leo 28/08/2019

Tetesi na Habari za soka Barani Ulaya leo 28/08/2019

Aug 28, 2019
COUTINHO ATUA BAYERN MUNICH KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA

COUTINHO ATUA BAYERN MUNICH KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA

Aug 19, 2019
BARCA & MADRID RUKSA KUMSAJILI NEYMAR ILA KWA MASHARTI HAYA

BARCA & MADRID RUKSA KUMSAJILI NEYMAR ILA KWA MASHARTI HAYA

Aug 19, 2019
Next Post

Marehemu Michael Jackson azidi kuandamwa na kashfa ya unyanyasaji kingono

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2019
M T W T F S S
« Feb   Apr »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In