Ishu ya Ruge Yaibuka, Uzinduzi wa Albamu ya Nandy Kenya – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BONGO FLEVA

Ishu ya Ruge Yaibuka, Uzinduzi wa Albamu ya Nandy Kenya

I am Magnifico by I am Magnifico
Apr 29, 2019
in BONGO FLEVA, BURUDANI
0 0
0
0
SHARES
105
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Staa mrembo wa Bongo Fleva, Nandy amezindua albamu yake ya kwanza the ‘African Princess’ kwa staili ya kipekee jana Jumapili kwenye ukumbi wa kifahari wa Golden Bistro, Nairobi.

Nandy aliyeongozana na msanii Willy paul anayedaiwa kuwa wapenzi, alitumbuiza nyimbo zote 13 ambazo zote ni kazi solo, tisa zikiwa mpya kabisa.

Nandy alisema Kenya nina mashabiki wengi hivyo baada ya kufanya uzinduzi Tanzania Novemba mwaka uliopita niliona ni freshi kama nikaja huku na kufanya hivyo pia.

Uzinduzi huo ulifanyika siku iliyofanyika ibada ya wafu ya kumkumbuka mdau wa mkubwa wa burudani nchini Tanzania, Ruge Mutahaba ambaye chini ya lebo yake ya Tanzania House of Talent ndiko alitokea Nandy.

Nandy alikuwa na ukaribu na Ruge na kudaiwa kuwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi naye hivyo kukosa kuwepo kwenye siku hiyo maalumu ya kumuenzi, kuliibua maswali.

Akizungumza kwa nini asingeisogeza mbele uzunduzi wa albamu yake ili kupata muda wa kumuenzi Ruge, Nandy alijitete kwa kusema “hili lilikuwa limeshapangwa tayari hata kabla ya Ruge kufariki. Hivyo kuahirisha ingevuruga mambo mengi ya kibiashara kwa upande wangu na wale nilioshirikiana nao. Sikuwa na jinsi.”

Tags: NANDY
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa
BURUDANI

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

by I am Krantz
Jan 14, 2021
0

MAMLAKA ya Maji Visiwani Zanzibar (ZAWA), kwa...

Read more
Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Jan 6, 2021
WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI  KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

Dec 20, 2020
Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Dec 14, 2020
Kamishina  wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Kamishina wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Dec 7, 2020
SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Oct 10, 2020
Next Post

TASNIA YA FILAMU TUMEYUMBA- LULU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2019
M T W T F S S
« Mar   May »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
2930  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In