Mama Mobeto Afungukia Sakata la Hamisa Kushindwa Kulipa Kodi na Kuhama Mjengoni – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BONGO FLEVA

Mama Mobeto Afungukia Sakata la Hamisa Kushindwa Kulipa Kodi na Kuhama Mjengoni

I am Magnifico by I am Magnifico
May 22, 2019
in BONGO FLEVA, HAMISA MOBETTO
0 0
0
0
SHARES
96
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Mama mzazi  staa  mwanamitindo Hamisa Mobeto, ameongelea kuhusu sakata la nyumba inayodaiwa kuwa wameondoka baada ya kushindwa kulipa kodi.


Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii picha za nyumba hiyo ya ghorofa moja ziligaa, kuwa madalali wanainadi kwa wapangaji wengine, hali iliyotafsiriwa na baadhi ya wanaofuatilia maisha ya mlimbwende huyo ambaye ni mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, kuwa huenda kashindwa kulipa kodi.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Mama Mobeto alisema hata yeye kaiona nyumba hiyo ikinadiwa mtandaoni na madalali kama walivyoona watu wengine.

Amefafanua kwamba kwa kuwa wengi wanaijua nyumba ya Hamisa wamedhani ni yake lakini ukweli ni kwamba zinafanana tu kwani wanapoishi kuna nyumba tano za aina hiyo.

“Katika nyumba hizo tano wapangaji wengi wanaokuja kuishi hapa ni wazungu, ambao baadhi yao wanafanya kazi kwa mikataba hapa nchini hivyo wakimaliza huwa wanaondoka, na hivyo mmiliki wa hizo nyumba kuwapa kazi madalali kutafuta wapangaji wengine na ndicho kilichoonekana mtandaoni, lakini ukweli nyumba hiyo sio tunayoishi sisi bado tupo sana na ikifika mahali tukitaka kuhama tutafanya hivyo,” alisema mama Mobeto.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Kazi ya Uhudumu wa Bar Ilivyobadilisha Maisha ya Ebitoke
BONGO FLEVA

Kazi ya Uhudumu wa Bar Ilivyobadilisha Maisha ya Ebitoke

by I am Magnifico
Aug 2, 2019
0

Mkali wa vichekesho nchini,Ebitoke 'Annastazia Exavery' amesema...

Read more
Aika wa Navy Kenzo Atoboa Siri ya  Kumuita Mwanaye ‘Jamaika’

Aika wa Navy Kenzo Atoboa Siri ya Kumuita Mwanaye ‘Jamaika’

Jul 29, 2019

Hakuna Mapenzi kwa Mastaa- Shilole

Jun 28, 2019

Natasha wa Diamond Kuishangilia Taifa Stars Kesho Dhidi ya Kenya

Jun 26, 2019

Diamond Afungukia Sakata la Watoto, Amfagilia Hamisa Dhidi ya Zari

Jun 25, 2019

Bushoke Bado Anamkumbuka Mangwair

Jun 24, 2019
Next Post

Mo Dewji Awapa Usafiri Wachezaji wa Simba

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

May 2019
M T W T F S S
« Apr   Jun »
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In