RAMMY GALLIS AFUNGUKIA TUHUMA ZA KUKATAA WATOTO – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BONGO MOVIE

RAMMY GALLIS AFUNGUKIA TUHUMA ZA KUKATAA WATOTO

I am Magnifico by I am Magnifico
May 13, 2019
in BONGO MOVIE, HABARI
0 0
0
0
SHARES
80
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
STAA wa Bongo Movie, Rammy Gallis, amefunguka  na kupuuza tuhuma za kukataa watoto zinazomkabili kutoka kwa wanawake anaokuwa nao kwenye mahusiano .

Rammy Gallis

Hivi karibuni akizungumza na gazeti la dimba, Rammy alisema kwa hadhi yake hawezi kufanya kitendo cha namna hiyo na hataki kuwa na mwanamke ambaye hajielewi kwa kushindwa kulea mtoto pale anaposhindwa kutoa huduma.

“Mimi nina jina kubwa sana kupitia kazi zangu, sasa inapofika hatua mtu anakudhalilisha kwa kudai una mtoto wake halafu hutaki kumlea, kwangu ni kunichafua na siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke asiyejimudu kulea mtoto hata pale mimi ninapokwama kifedha,” alisema Rammy.

Hata hivyo, Gallis, ameiomba Serikali kuzingatia sheria za wanaume wanaokataa kulea watoto wao kwa kisingizio cha kutofunga nao ndoa na badala yake ametaka sheria hiyo ikaziwe na kuongezwa makali zaidi ili iwe fundisho.

Tags: RAMMY GALLIS
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Chuo cha Uhasibu Arusha chasaini mkataba na TFF kuendeleza soka nchini
HABARI

Chuo cha Uhasibu Arusha chasaini mkataba na TFF kuendeleza soka nchini

by Mhariri
Jan 28, 2021
0

Na: Eleuteri Mangi- WHUSM, Arusha. Chuo cha...

Read more
Waziri Mkuu aipongeza TPSF kwa kutoa ujuzi wa ajira kwa vijana

Waziri Mkuu aipongeza TPSF kwa kutoa ujuzi wa ajira kwa vijana

Jan 28, 2021
TBS yateketeza bidhaa bandia na zilizoisha muda wake zenye thamani ya Milion 40

TBS yateketeza bidhaa bandia na zilizoisha muda wake zenye thamani ya Milion 40

Jan 27, 2021
Makamu wa Rais asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Makamu wa Rais asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Jan 27, 2021
TAKUKURU kuwang’ata waajiri wasiopeleka makato kwenye mifuko ya hifadhi

TAKUKURU kuwang’ata waajiri wasiopeleka makato kwenye mifuko ya hifadhi

Jan 27, 2021
Tigo yakabidhi zawadi kwa washindi wa JazaTukujaze Tena

Tigo yakabidhi zawadi kwa washindi wa JazaTukujaze Tena

Jan 27, 2021
Next Post

RUGE ALIFARIKI MWEZI MMOJA KABLA YA NDOA YETU-NANDY

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

May 2019
M T W T F S S
« Apr   Jun »
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In