Aslay Atoa Sababu za Kuvutiwa na Wema Sepetu Kwenye Filamu – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home Aslay

Aslay Atoa Sababu za Kuvutiwa na Wema Sepetu Kwenye Filamu

I am Magnifico by I am Magnifico
Jun 17, 2019
in Aslay, BONGO FLEVA, BONGO MOVIE, BURUDANI
0 0
0
0
SHARES
91
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Akiongea za gazeti la Mwananchi, mkali wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka amesema ikitokea akaingia kwenye ulingo wa uigizaji anatamani kufanya kazi na msanii wa filamu nchini na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.

Akitaja sababu za kutamani kufanya kazi na staa huyo ni namna anavyomvutia jinsi anavyoigiza.
“Siku ikitokea nikajitosa kwenye filamu msanii wa kwanza kufanya naye kazi atakuwa Wema Sepetu na najua hiyo kazi itafanya vizuri sana sokoni, kwa sababu anajua na anauvaa uhusika haswa, ”anasema Aslya.
Aslay amefafanua kuwa anavutiwa na Wema akiwa anaigiza na si vinginevyo, hivyo kauli hiyo isitafsiriwe kwa mtazamo tofauti. Anasema ameliweka wazi hilo kwa sababu yeye ni msanii na ipo siku ataamua kufanya aina nyingine ya sanaa na msanii anayemkubali kwenye filamu ni huyo.
Tags: WEMA SEPETU
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa
BURUDANI

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

by I am Krantz
Jan 14, 2021
0

MAMLAKA ya Maji Visiwani Zanzibar (ZAWA), kwa...

Read more
Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Jan 6, 2021
WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI  KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

Dec 20, 2020
Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Dec 14, 2020
Kamishina  wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Kamishina wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Dec 7, 2020
SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Oct 10, 2020
Next Post

TOVUTI YA 'GENIUS' YAISHITAKI GOOGLE KWA WIZI WA KAZI ZAO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

June 2019
M T W T F S S
« May   Jul »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In