DAKTARI FEKI AKAMATWA MBEYA, AKUTWA NA WAGONJWA WENGI – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home DAKTARI FEKI

DAKTARI FEKI AKAMATWA MBEYA, AKUTWA NA WAGONJWA WENGI

I am Magnifico by I am Magnifico
Jun 27, 2019
in DAKTARI FEKI, HABARI TANZANIA
0 0
0
0
SHARES
86
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Jeshi la Polisi jijini Mbeya linamshikilia Abdallah Bushiri (42) kwa tuhuma za kujifanya daktari wa binadamu wakati hana taaluma hiyo, baada ya kumkuta nyumbani kwake akiwa na wagonjwa zaidi ya 100 wakisubiri kupatiwa matibabu.
Kamanda wa polisi jijini Mbeya Ulrich Matei amethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo Mkazi wa Igodima jijini humo ambaye anafanya kazi hiyo kinyume na sheria za nchi huku akiwataka wananchi kuchukua tahadhari na kuhakikisha wanaenda kupata tiba sehemu rasmi ili kunusuru maisha yao.
Kamanda Matei amesema daktari huyo feki amekuwa akiwafanyia watu upasuaji ambapo wamemkuta akiwa na fomu za maabara, vipimo vya kupima ujauzito, dawa za kusafisha vidonda, chupa za kuongezea wagonjwa maji na mikasi na dawa zimekwisha muda wake wa matumizi.
Kwa upande wa Mganga mkuu wa halmashauri ya jiji la Mbeya, Bwana.Jonas Lurandala amesema mtuhumiwa Abdallah Bushiri hana taaluma ya udaktari na kuwataka wakazi wa jiji la Mbeya kutoa taarifa za wenye tabia kama hiyo ili kuokoa maisha yao. 
Tags: mbeya
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano
HABARI

Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano

by Ombeni Osward
Jan 21, 2021
0

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

Read more
Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Jan 21, 2021
Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Jan 20, 2021
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Next Post

Madini Zaidi ya Kilo 36 Yakamatwa Yakitoroshwa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

June 2019
M T W T F S S
« May   Jul »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In