TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home AJALI

TATIZO JINGINE LAGUNDULIKA KATIKA NDEGE ZA BOEING 737 MAX

I am Magnifico by I am Magnifico
Jun 28, 2019
in AJALI, BOEING 737 MAX, FAA, HABARI KIMATAIFA
0 0
0
0
SHARES
67
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Wakaguzi nchini marekani wamegundua tatizo jipya katika ndege ya kampuni ya Boeing chapa 737 max ambalo huenda likachelewesha kurudi kuhudumu kwa ndege hiyo.
ADVERTISEMENT
Ndege aina ya BOEING 737 MAX
Utawala wa safari za anga nchini Marekani-Federal Aviation Administration (FAA) umesema umegundua “inayowezekana kuwa hatari” wakati wa majaribio, lakini haukfichua matokeo.
Ndege hiyo inayouzwa sana katika kampuni ya Boeing ilisitishwa mnamo Machi baada ya ajali mbili za ndege.
Kampuni hiyo inamarisha mfumo wa kutuwa kwa ndege hiyo, ambao unachunguzwa na maafisa wa uchunguzi wa ajali ya ndege.
Katika ujumbe kwenye twitter, FAA limesema: “Katika suala la hivi karibuni, moango wa FAA umeundwa kutambua na kubaini hatari zinazowezekana kuwepo. FAA rhivi karibuni liligundua hatari inayowezekana kuwepo ambayo ni lazima Boeing iitatue.
Mwezi uliopita, FAA liliashiria kuridhia mabadiliko ya Boeing kwa ndege hiyo ya 737 Max ambayo yanaweza kuidhinishwa mwishoni mwa Juni.
Hilo lingeruhusu ndege hizo kufanyiwa majaribio mapema mwezi Julai.
Awali kulikuwa na matumaini kuwa ndege ya 737 Max itarudi angani wakati wamsimu wa joto, lakini mpangilio huo ulisukumwa mwishoni mwa mwaka huu hata kablaya taarifa hii leo.
Reuters, shirika la habari ambalo lilitangulia kuripoti kuhusu tatizo hilo kwanza limesema kuwa wakati wa kufanyiwa majaribio kwa usukani wa rubani ambao mfumo wa kutua uliidhinishwa, ilichukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa kupata udhibiti wa ndege hiyo.
Vyanzo vingine vinasema tatizo linahusiana na nguvu ya kompyuta ya ndege hiyo na huenda haukuwa na uwezo wa kupokea maagizo kwa kasi inayohitajika.
Boeing imesema “Tunashirikiana kwa karibu na FAA kuirudisha kuhudumu ndege ya Max ” na kwamba inaamini suluhu kwa mfumo huo utalitatua tatizo lililopo.
Iwapo wakaguzi hawatoridhishwa na suluhu hiyo kw amfumo itabidi ubadilishwe na huenda ikavuta muda wa kurudi kuhudumu kwa ndege hiyo zaidi ya ilivyodhaniwa awali.
Ajali ya ndege ya Ethiopia ET302 mnamo Machi ni ajali ya pili iliyosababisha vifo vya watu iliohusisha ndege yenye chapa ya 737 Max katika muda wa miezi mitano.
Ndege inayokaribia kufanana na hiyo, inayomilikiwa na kampuni ya Indonesia Lion Air, ilianguka baharini kutoka Jakarta mnamo Oktoba 2018.
Ripoti za awali katika ajali zote zimeashiria ajali ilisababishwa na matatizo katika mfumo wa ndege kutua uliochelewa kufanya kazi kwa muda muafaka kutokana na hitilafu katika sensa yake.
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Hotuba ya mwisho ya Trump
HABARI

Hotuba ya mwisho ya Trump

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Rais wa 45 wa Marekani, Bwana  Donald...

Read more
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Jan 18, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Tramp Afungiwa Akunti za Twitter na Facebook

Trump apigiwa kura kuondolewa madarakani

Jan 14, 2021
Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Jan 13, 2021
Next Post

Breaking News: Spika wa Bunge Job Ndugai, Amvua Ubunge Tundu Lissu

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

June 2019
M T W T F S S
« May   Jul »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In