ULEVI NA UZEMBE WACHANGIA ASILIMIA 76 YA AJALI ZA BARABARANI – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home AJALI

ULEVI NA UZEMBE WACHANGIA ASILIMIA 76 YA AJALI ZA BARABARANI

I am Magnifico by I am Magnifico
Jun 14, 2019
in AJALI, HABARI TANZANIA
0 0
0
0
SHARES
88
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Imeelezwa kuwa moja ya chanzo kikuu cha ajali za barabarani hususan kwa waendesha bodaboda ni makosa ya kibinadamu ikiwa ni pamoja na ulevi na uzembe ambao huchangia kwa asilimia 76%.
Hayo yamesemwa jana Juni 13,2019 na Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mhandisi Hamad Masauni wakati akijibu swali la mbunge wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo Manyinyi aliyehoji licha ya kazi nzuri ya waendesha bodaboda ya kurahisisha usafiri na kupunguza tatizo la ajira ,bado ziko changamoto mbalimbali wanazosababisha kama ajali za mara kwa mara pamoja na wizi ,nini mkakati wa serikali kupunguza tatizo hilo.
Katika majibu yake Mhandisi Masauni amesema vipo vyanzo vikuu vitatu vinavyosababisha ajali za barabarani hapa nchini ikiwa ni pamoja na makosa ya kibinadamu ambayo huchangia kwa asilimia 76%,ubovu wa Magari asilimia 16%, mazingira ya Barabara asilimia 8%.
Mhandisi Masauni ameyataja baadhi ya makosa ya kibinadamu ni pamoja na ulevi,uendeshaji wa kizembe,mwendokasi,uzembe wa waendesha pikipiki,uzembe wa waendesha baiskeli,uzembe wa watembea kwa miguu.
Aidha,Serikali kupitia jeshi la polisi hapa nchini imekuwa ikitoa elimu kwa waendesha bodaboda namna nzuri ya utumiaji wa pikipiki ikiwa ni pamoja na kuvaa kofia ngumu ,kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa leseni kwa waendesha bodaboda ili kupunguza waendeshashaji wasio na leseni na wanaoweza kusababisha ajali. 
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Mvua zaleta Majanga Mtwara
HABARI TANZANIA

Mvua zaleta Majanga Mtwara

by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
0

Mvua zinazoendele Mtwara zimesababisha watu kukosa makazi...

Read more
ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

Jan 14, 2021
Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Jan 11, 2021
Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Jan 9, 2021
Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Jan 5, 2021
General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

Jan 4, 2021
Next Post

DAR ES SALAAM NA MWANZA VINARA WA MSONGAMANO WA WATU MWAKA 2018

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

June 2019
M T W T F S S
« May   Jul »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In