DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home CCM

DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA

I am Magnifico by I am Magnifico
Jul 8, 2019
in CCM, CHADEMA, DKT BASHIRU, HABARI TANZANIA, HAI
0 0
0
DKT. BASHIRU: JIMBO LA HAI SI NGOME YA CHADEMA
0
SHARES
56
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally ametaja sababu ya ziara yake mkoani Kilimanjaro kuanzia Wilaya ya Hai lilipo jimbo la Hai ambalo mbunge wake ni mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Amesema ameanzia Hai kimkakati kwa maelezo kuwa jimbo hilo si ngome ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Ametoa kauli hiyo jana Jumapili Julai 7, 2019 katika kikao cha ndani kilichofanyika katika uwanja
wa Sabasaba.
“Katika Mkoa wa kilimanjaro nimepanga kupita wilaya kwa wilaya kwa sababu ya uzito na umuhimu. Nimeanzia Hai kimkakati na mahesabu yametumika kuamua kuanzia Hai katika ziara yangu,” amesema Dk Bashiru.
Katibu mkuu huyo ametoa maelekezo kwa mabalozi kupewa nafasi katika mikutano pindi wanapofika viongozi wa kitaifa mikoani.
Naye katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya, amesema mwaka 2015 chama hicho kilipoteza majimbo kadhaa mkoani Kilimanjaro kutokana na makundi baada ya kumalizika kwa kura za maoni.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, CCM iliibuka na ushindi katika majimbo mawili kati ya tisa mkoani humo na madiwani 52 kati ya 169.
Tags: mboweSIASA
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Mvua zaleta Majanga Mtwara
HABARI TANZANIA

Mvua zaleta Majanga Mtwara

by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
0

Mvua zinazoendele Mtwara zimesababisha watu kukosa makazi...

Read more
ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

Jan 14, 2021
Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Jan 11, 2021
Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Jan 9, 2021
Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Jan 5, 2021
General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

Jan 4, 2021
Next Post
BARCELONA WAACHIA JEZI MPYA ZA UGENINI KWA MSIMU UJAO. UNAZIONAJE?

BARCELONA WAACHIA JEZI MPYA ZA UGENINI KWA MSIMU UJAO. UNAZIONAJE?

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2019
M T W T F S S
« Jun   Aug »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In