Rais Kenyatta Asisitiza Umoja EAC, Afurahia Uongozi wa Magufuli – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home DK MAGUFULI

Rais Kenyatta Asisitiza Umoja EAC, Afurahia Uongozi wa Magufuli

I am Magnifico by I am Magnifico
Jul 5, 2019
in DK MAGUFULI, HABARI, IKULU
0 0
0
Rais Kenyatta Asisitiza Umoja EAC, Afurahia Uongozi wa Magufuli
0
SHARES
46
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema kitu anachotamani katika muda wake wa uongozi ni kuona wana Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaendelea kuwa kitu kimoja. 

ADVERTISEMENT
Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania na Uhuru Kenyatta wa Kenya


Ameyasema hayo leo Ijumaa Julai 5, 2019 baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita Tanzania kwaajili ya ziara binafsi ya siku mbili.

“Mimi kama kiongozi wa Kenya nimesema kama kuna kitu ningependa nione mbele ya wakati wangu, ni sisi wana Jumuiya ya Afrika Mashariki tukiwa kitu kimoja” amesema Rais Kenyatta akihutubia wananchi

Amesema Tanzania na Kenya ni marafiki hivyo viongozi wanapaswa kuhakikisha wanaondoa vikwazo katika mwingiliano kwa nchi hizo mbili.

“Hakuna kitu ya furaha kama kuwa una jirani uliyechaguliwa na mwenyezi Mungu na pia huyo jirani ni rafiki na ndio tuko hapa kuimarisha huo urafiki” amesema

“Ndio tuko hapa kusisitiza ya kwamba mataifa yetu mawili, sisi kama watoto wa Afrika Mashariki twasema yastahili hasa sisi viongozi kufanya yote ambayo tunaweza, kuhakikisha ya kwamba tumeondoa vikwazo vyote ambayo vyazuia vinavyozuia watu wetu kutembeleana, kufanya biashara pamoja, kuoana” amesema

Amesema njia ya kuimarisha ujirani ni kuondoa mambo yanayoweza kuharibu urafiki.

“Wajua njia ya kumaliza ukabila na mipaka ni watu waoane, hiyo ndo njia ya kumaliza ukabila na mambo mengine ambayo yanatugawanya,” amesema

Rais Kenyatta ambaye amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Chato saa 8:45 mchana amepokelewa na mwenyeji wake, Rais wa Tanzania John Magufuli.

Akiwa Chato, Rais Kenyatta atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Magufuli

Rais Kenyatta amekuja nchini baada ya kualikwa na mwenyeji wake Rais Magufuli na kesho Jumamosi atamaliza ziara yake na kurejea nchini kwake.

Tags: UHURU KENYATA
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar
HABARI

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP...

Read more
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Naibu Waziri Kipanga aagiza Vyuo vya VETA kwenye Wilaya 25 vyote vikamilike kwa wakati

Naibu Waziri Kipanga aagiza Vyuo vya VETA kwenye Wilaya 25 vyote vikamilike kwa wakati

Jan 22, 2021
Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato (+video)

Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato (+video)

Jan 22, 2021
Rais wa Zanzibar akutana na IGP Sirro

Rais wa Zanzibar akutana na IGP Sirro

Jan 22, 2021
Waziri Aweso awaagiza SUMAJKT kuongeza nguvu kazi kwenye ujenzi wa tanki la Maji Chamwino

Waziri Aweso awaagiza SUMAJKT kuongeza nguvu kazi kwenye ujenzi wa tanki la Maji Chamwino

Jan 22, 2021
Next Post
SBL yafanya ‘hafla kuipongeza Taifa Stars’ baada ya kurejea kutoka AFCON

SBL yafanya ‘hafla kuipongeza Taifa Stars’ baada ya kurejea kutoka AFCON

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2019
M T W T F S S
« Jun   Aug »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In