Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumanne:Neymar, Coutinho, Maguire, Bruce, Fernandes, Alderweireld – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home ALDERWEIRELD

Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumanne:Neymar, Coutinho, Maguire, Bruce, Fernandes, Alderweireld

I am Magnifico by I am Magnifico
Jul 16, 2019
in ALDERWEIRELD, BRUCE, COUTINHO, FERNANDES
0 0
0
Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumanne:Neymar, Coutinho, Maguire, Bruce, Fernandes, Alderweireld
0
SHARES
73
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Leicester imemwambia mlinzi wake wa kati Harry Maguire, 26, kuwa anaweza kuondoka (Telegraph)

ADVERTISEMENT

Mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar, 27, amerejelea kauli yake uhusu nia yake ya kuondoka kwenye klabu hiyo kwenye mkutano wake na mkurugenzi wa ufundi Leonardo . (ESPN)

Newcastle watalipa pauni milioni 4 kama fidia kwa timu ya Sheffield Wednesday kwa ajili ya kocha wao wa zamani Steve Bruce.(Sun)

Wasaidizi wa Bruce Steve Agnew na Stephen Clemence pia wameondoka Sheffield Wednesday na watajiunga naye St James’Park .(Newcastle Chronicle)

Manchester United watapeleka rasmi ofa ya kumnasa kiungo wa kati wa Sporting Lisbon Bruno Fernandes, 24, katika kipindi cha majuma matatu yajayo.

Mkurugenzi wa Roma Gianluca Petrachi amethibitisha kuwa klabu yake ina mpango wa kumsajili mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Tottenham Toby Alderweireld, 30. (Football Italia)

Alderweireld na mchezaji mwenzake Christian Eriksen, 27, wanajiandaa kusafiri kwenda Singapore na klabu siku ya Jumatano, ingawa kumekuwa na maswali kuhusu mustakabali wao.(London Evening Standard)

Kiungo wa Barcelona Philippe Coutinho, 27, huenda akarejea Liverpool kwa mkataba wa miaka miwili kwa mkopo, huku timu hiyo yenyewe ikiwa na mipango ya kumnunua kwa pauni milioni 88.(Calciomercato, via Sport Bible)

Bayern Munich imekata matumaini ya kumalizia dili la pauni milioni mmoja kumnasa winga wa Manchhester City Leroy Sane, 23.(Sky Germany, via Mail)

Arsenal imeendelea kuwa na mazungumzo na Celtic kuhusu dili la kumpata beki wa kushoto Kieran Tierney .(London Evening Standard)

Inter Milan wana shaka kuhusu kitita cha pauni milioni 75 Manchester United inakihitaji kwa ajili ya mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku.Inter imetoa ombo la mkopo wa miaka miwili, ambapo wataweza kulipa kwa awamu za Pauni milioni 9, pauni milioni 27 na pauni milioni 27, lakini United wanataka fedha zote kwa mkupuo. (Star)

West Ham wako kwenye mazungumzo wakitaka saini ya mshambuliaji Sebastien Haller, 25. (London Evening Standard)

Wolves wako na mipango ya kumsajili Wallace, 24,mlinzi wa Lazio (Birmingham Mail)

Gatasaray wanakabiliwa na ushindani kutoka kwa magwiji wa ligi ya Serie A, AC Milan ili kumpata kiungo wa Fulham Jean Mchael Seri, 27 . (Fanatik, via Sport Witness)

Kocha wa zamani wa Manchester United Jose Mourinho anatazama uwezekano wa kuhamia Bundesliga. (Independent)

Tags: MAGUIREMICHEZONEYMAR
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

COUTINHO ATUA BAYERN MUNICH KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA
Bayern Munich

COUTINHO ATUA BAYERN MUNICH KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA

by I am Magnifico
Aug 19, 2019
0

Habari tulizozipata hivi punde ni kuwa klabu...

Read more
Tetesi za Soka Ulaya Leo Ijumaa: Maguire,Sane, Cancelo, Dybala, Fernandes, Otamendi

Tetesi za Soka Ulaya Leo Ijumaa: Maguire,Sane, Cancelo, Dybala, Fernandes, Otamendi

Aug 2, 2019
Tetesi za Soka Ulaya Leo Alhamisi: Coutinho, Pepe, Dybala, Rugani, Koscielny, Sane

Tetesi za Soka Ulaya Leo Alhamisi: Coutinho, Pepe, Dybala, Rugani, Koscielny, Sane

Aug 1, 2019
Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatano: Maguire, Rose, Alderweireld, Longstaff, Nelson, Lo Celso

Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatano: Maguire, Rose, Alderweireld, Longstaff, Nelson, Lo Celso

Jul 24, 2019
Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatano: Eriksen, Rose, Ceballos, Fernandes, Soares, Saliba

Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatano: Eriksen, Rose, Ceballos, Fernandes, Soares, Saliba

Jul 17, 2019
Tetesi za soka Ulaya Leo Ijumaa: Bale, Griezmann, Lukaku, Koscielny, Fernandes, Diaz

Tetesi za soka Ulaya Leo Ijumaa: Bale, Griezmann, Lukaku, Koscielny, Fernandes, Diaz

Jul 12, 2019
Next Post
Swahilflix Waungana na Bongo Movie, Will Smith Kutua Bongo

Swahilflix Waungana na Bongo Movie, Will Smith Kutua Bongo

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2019
M T W T F S S
« Jun   Aug »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In