UKUAJI WA UCHUMI TZ 2018: BENKI YA DUNIA YATOFAUTIANA NA SERIKALI – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BENKI YA DUNIA

UKUAJI WA UCHUMI TZ 2018: BENKI YA DUNIA YATOFAUTIANA NA SERIKALI

I am Magnifico by I am Magnifico
Jul 19, 2019
in BENKI YA DUNIA, HABARI
0 0
0
UKUAJI WA UCHUMI TZ 2018: BENKI YA DUNIA YATOFAUTIANA NA SERIKALI
0
SHARES
47
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Uchumi wa taifa la Tanzania ulipanuka kwa asilimia 5.2 mwaka 2018 kulingana na benki ya dunia iliosema katika katika ripoti yake kuu mwaka huu ambapo imetofautiana na takwimu zilizotolewa na serikali hiyo za kuimarika kwa uchumi huo.
Kulingana na chombo cha habari cha Reuters, waziri wa fedha nchini Tanzania alikuwa ameliambia bunge mwezi uliopita kwamba ukuwaji huo ulikuwa wa asilimia 7 mwaka uliopita. 
Katika ripoti hiyo, kulingana na Reuters, benki kuu ya dunia ambayo hufanya hesabu zake kwa kutumia data ilizonazo pia ilikadriria kwamba uchumi huo utakua kwa asilimia 5.4 ikiwa ni chini ya asilimia 7.1 inayokadiriwa na serikali.
Ukuaji wa mwaka uliopita uliathiriwa na kushuka kwa viwango vya uwezekazji, mauzo katika mataifa ya kigeni na ukopeshaji katika sekta ya kibinfasi, ripoti hiyo imesema.
Kulinga na Reuters, data inayohusiana na matumizi, uwekezaji na biashara inonyesha kwamba ukuaji huo ulipungua mwaka 2018, imesema ripoti hiyo.
Rais John Pombe Magufuli alianzisha mpango wa kuimarisha sekta ya viwanda baada ya kuchukua hatamu mwaka 2015, akiwekeza mabilioni ya dola katika miundo msingi, ikiwemo barabara ya reli, kufufua uchukuzi wa kitaifa wa angani pamoja na kiwanda cha umeme.
Lakini hatua ya serikali kuingilia sekta ya uchimbaji wa madini pamoja na ile ya kilimo imesababisha kupungua kwa uwekezaji katika sekta hizo katika taifa hilo linalotajwa kuwa la tatu kwa ukubwa kiuchumi Afrika mashariki, ilisema ripoti hiyo iliochapishwa na Ruters.
Tags: UCHUMI
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi
HABARI

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Na Amiri Kilagalila,Njombe Jeshi la Polisi mkoani...

Read more
Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Jan 22, 2021
Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Jan 22, 2021
Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Jan 22, 2021
IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

Jan 22, 2021
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Next Post
WAKULIMA WA PAMBA KUPEWA VITAMBULISHO

WAKULIMA WA PAMBA KUPEWA VITAMBULISHO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2019
M T W T F S S
« Jun   Aug »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In