Yusuph Mlela Atoboa Kuhusu Bifu Lake na Hemed PHD – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BONGO MOVIE

Yusuph Mlela Atoboa Kuhusu Bifu Lake na Hemed PHD

I am Magnifico by I am Magnifico
Jul 16, 2019
in BONGO MOVIE, BURUDANI, HEMED PHD. YUSUPH MLELA
0 0
0
Yusuph Mlela Atoboa Kuhusu Bifu Lake na Hemed PHD
0
SHARES
126
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Staa wa Bongo Movie hapa nchini Tanzania Yusuph Mlela, ameeleza sababu ziliozofanya awe na tofauti na staa mwenzake wa Bongo Movie ambaye ni Hemed Suleiman “PHD”.



Yusuph Mlela amefunguka baada ya taarifa zilizokuwa zinaendelea kwamba bifu lao hilo limetokana na wawili hao kugombea mwanamke.


“Hemed ni rafiki yangu sijawahi kugombana naye kabisa, hizo zilikuwa ni stori tu, hayo ni mambo tu yalitokea watu hawajui kiundani, ilikuwa ni kutoelewana kwa kawaida ila sasa hivi tupo vizuri, tunafanya kazi pamoja”.


Aidha msanii huyo amesema anapenda sana nywele zake kuliko kitu chochote, tangia ameanza kujitambua akiwa ana umri wa miaka 17 au 18 alikuwa anafuga nywele kwa mtindo wa Afro, kusuka au anaziachia anavyototaka.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa
BURUDANI

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

by I am Krantz
Jan 14, 2021
0

MAMLAKA ya Maji Visiwani Zanzibar (ZAWA), kwa...

Read more
Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Jan 6, 2021
WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI  KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

Dec 20, 2020
Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Dec 14, 2020
Kamishina  wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Kamishina wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Dec 7, 2020
SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Oct 10, 2020
Next Post
WALIOUA WATANZANIA 9 MPAKANI MWA MSUMBIJI WAKAMATWA

WALIOUA WATANZANIA 9 MPAKANI MWA MSUMBIJI WAKAMATWA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2019
M T W T F S S
« Jun   Aug »
1234567
891011121314
15161718192021
22232425262728
293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In