Chuo Kikuu UDSM Chakanusha Matokeo Mabaya Kwa Wanafunzi Wake – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home ELIMU

Chuo Kikuu UDSM Chakanusha Matokeo Mabaya Kwa Wanafunzi Wake

I am Magnifico by I am Magnifico
Aug 29, 2019
in ELIMU, HABARI TANZANIA
0 0
0
Chuo Kikuu UDSM Chakanusha Matokeo Mabaya Kwa Wanafunzi Wake
0
SHARES
108
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Chuo Kikuu cha Dar es Dalaam (UDSM) chakanusha uvumi unaonendelea kwenye mitandao ya kijamii kuwa wanafunzi wengi wamefeli mitihani ya chuo hicho. 
Ni siku chache baada ya matokeo ya chuo hicho kutoka taarifa zilisambaa mitandaoni ikieleza kuwa wanafunzi wengi zaidi ya 1000 wamedisco yaani kutoendelea na masomo yao kabisa na wengine kurudia mitihani (supplementary)
Kupitia barua ilioyotolewa na chuo hicho, kimesema kuwa hizo taarifa sio za kweli kwani chuo kina utaratibu wa Kusimamia utungaji wa mitihani, usimamizi, ufanyaji na usahihishaji wa Mitihani
Barua hiyo inaeleza kuwa SENETI ndio linatoa maamuzi ya mwisho ya matokeo na Seneti haijafanya kikao chochote za kufanya maamuzi hayo. 
Mwisho chuo kinawasihi na kuwatoa wasiwasi wanafunzi wa chuo hicho, wazazi, wanajumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanajamii kwa ujumla kuwa taarifa hizo ni uzushi. 
Pia kinawakumbusha wadau, wanafunzi na wafanyakazi kuwa chuo kina wajibu wa kusimamia ubunifu, utendaji kazi na maadili yao. 
Barua kwa umma
Tags: Matokeo MabayaUDSM
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Mvua zaleta Majanga Mtwara
HABARI TANZANIA

Mvua zaleta Majanga Mtwara

by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
0

Mvua zinazoendele Mtwara zimesababisha watu kukosa makazi...

Read more
ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

Jan 14, 2021
Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Waziri ampa siku 7 IGP kushughulikia bajeti ya Mbwa

Jan 11, 2021
Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Wahitimu Chuo Cha Maji Wanaajirika – Aweso

Jan 9, 2021
Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Dk Ali Mohamed Shein Asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

Jan 5, 2021
General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

General wa Jeshi aliemfurumusha Idd Amin Dada Atimiza miaka 101

Jan 4, 2021
Next Post
Rais Wa Kwanza Na Mwasisi Wa Uhuru Wa Gambia, DAWDA JAWARA Afariki Dunia

Rais Wa Kwanza Na Mwasisi Wa Uhuru Wa Gambia, DAWDA JAWARA Afariki Dunia

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

August 2019
M T W T F S S
« Jul   Sep »
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In