MUME NA MKE WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MAFUTA YA PETROLI LINDI – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home AJALI

MUME NA MKE WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MAFUTA YA PETROLI LINDI

I am Magnifico by I am Magnifico
Aug 16, 2019
in AJALI, HABARI TANZANIA, Lindi
0 0
0
MUME NA MKE WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MAFUTA YA PETROLI LINDI
0
SHARES
49
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Watu wawili mume na mke wakazi wa Kijiji cha Kilimanjaro, Kata ya Mtumbya mkoani Lindi, Shafii Selemani na Liuza Shafii wamenusurika kifo kufuatia nyumba yao kuteketea kwa moto uliochangiwa na mafuta aina ya Petroli.
Kwa mujibu wa baadhi ya majirani waliojitokeza kusaidia kuzima moto huo bila mafanikio, wameeleza kuwa moto huo ulichangiwa na mafuta aina ya Petroli yaliyokuwa yamehifadhiwa kwenye madumu na kuwekwa ndani ya nyumba yao.
Wameeleza kuwa Shafii ni dereva Bodaboda pia anajihusisha na uuzaji wa mafuta ya Petroli, kwa ajili ya madereva wenzake ili kuwapunguzia tatizo la kufuata huduma hiyo mbali na maeneo yao.
“Moja ya dumu la uzito wa Lita tano likiwa na Petroli lilikuwa wazi bila kufungwa, hivyo harufu yake ilizagaa ndani, ikizingatiwa kulikuwa na moto na kulipuka“, amesema mmoja wa majirani aliyefahamika kwa jina la Mashaka.
Mashaka alisema kwamba moto huo umeteketeza mali zote zilizokuwemo ndani, ikiwa ni pamoja na vitanda, Magodoro, chakula, Pikipiki, Nguo na vifaa vingine vilivyokuwepo ndani ya Nyumba yake.
Tags: MOTO
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano
HABARI

Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano

by Ombeni Osward
Jan 21, 2021
0

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

Read more
Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Jan 21, 2021
Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Jan 20, 2021
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Next Post
WAZIRI SIMBACHAWENE ABAINI KUENDELEA KUTUMIKA KWA MIFUKO YA PLASTIKI KATIKA SOKO LA KARIAKOO

WAZIRI SIMBACHAWENE ABAINI KUENDELEA KUTUMIKA KWA MIFUKO YA PLASTIKI KATIKA SOKO LA KARIAKOO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

August 2019
M T W T F S S
« Jul   Sep »
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In