Rais Wa Italia Amuagiza Waziri Mkuu Aliyejiuzulu Kuunda Serikali Ya Mseto – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI KIMATAIFA

Rais Wa Italia Amuagiza Waziri Mkuu Aliyejiuzulu Kuunda Serikali Ya Mseto

I am Magnifico by I am Magnifico
Aug 30, 2019
in HABARI KIMATAIFA, ITALIA
0 0
0
Rais Wa Italia Amuagiza Waziri Mkuu Aliyejiuzulu Kuunda Serikali Ya Mseto
0
SHARES
79
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Rais wa Italia Sergio Mattarella amempa Waziri Mkuu Giuseppe Conte agizo la kuunda serikali mpya Alhamisi, kufuatia mpango wa kuepusha uchaguzi wa mapema.
Uamuzi huo umetolewa na Mattarella baada ya vyama viwili vya kisiasa nchini Italia, kile Nyota Tano na cha Democratic, kukubaliana kuunda serikali mpya ya mseto. Vyama hivyo vimeamua kuweka kando tofauti zao kuepusha uchaguzi ambao unaweza kumpa ushindi waziri wa mambo ya ndani wa siasa kali za mrengo wa kulia Matteo Salvini kama Waziri Mkuu.
Muungano huo utaongozwa na waziri mkuu anayemaliza muda wake Giuseppe Conte, ambaye alijiuzulu wiki iliyopita kufuatia kuanguka kwa serikali yake mapema mwezi huu baada ya kukosa uungwaji mkono wa chama cha Salvini cha League. 
Conte amelikubali agizo hilo na anatapewa siku chache za kufanya mashauri ya kisiasa kuhakikisha wingi kuhakikisha kwamba anapata wingi wa viti bungeni. Conte atahitaji kushinda kura ya imani kurudi tena madarakani kama Waziri Mkuu. Akipokea agizo hilo Conte lisema yafuatayo:
“Mimi ni profesa na wakili. Katika maisha yangu nimetetea watu wengi, sasa najitolea kutetea masilahi ya Waitaliano wote katika maeneo yote,” amesema Conte. 
Kiongozi wa Chama cha Nyota Tano Luigi Di Maio amesema mpango huo na chama cha Democratic utalazimika kupitishwa na wanachama wa chama chake kwa kura ya mtandaoni, ambayo inaweza kufanywa wikendi hii. 
Tags: SIASA
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Hotuba ya mwisho ya Trump
HABARI

Hotuba ya mwisho ya Trump

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Rais wa 45 wa Marekani, Bwana  Donald...

Read more
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Jan 18, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Tramp Afungiwa Akunti za Twitter na Facebook

Trump apigiwa kura kuondolewa madarakani

Jan 14, 2021
Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Jan 13, 2021
Next Post
Mkuu Wa Mkoa TANGA Anyang’anya Shamba La Mwekezaji Na Kuwagawia Wananchi

Mkuu Wa Mkoa TANGA Anyang'anya Shamba La Mwekezaji Na Kuwagawia Wananchi

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

August 2019
M T W T F S S
« Jul   Sep »
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In