Tetesi za Soka Ulaya Leo Ijumaa: Maguire,Sane, Cancelo, Dybala, Fernandes, Otamendi – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home CANCELO

Tetesi za Soka Ulaya Leo Ijumaa: Maguire,Sane, Cancelo, Dybala, Fernandes, Otamendi

I am Magnifico by I am Magnifico
Aug 2, 2019
in CANCELO, DYBALA, FERNANDES
0 0
0
Tetesi za Soka Ulaya Leo Ijumaa: Maguire,Sane, Cancelo, Dybala, Fernandes, Otamendi
0
SHARES
84
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Manchester
City wamekataa dau la pauni milioni 72 kutoka kwa Bayern Munich kwa
ajili ya mshambuliaji wa Leroy Sane raia wa Ujerumani, mwenye umri wa
miaka 23. (Metro)

City wanataka walipwe pauni milioni 137 kwa
mauzo ya Sane ikiwa hatakuwa na haja ya kusaini mkataba wa kurefusha
mkataba wake, unaomalizika Juni 2021. (Telegraph)

Manchester
United wanahangaika kufikia makubaliano na mshambuliaji wa Argentina
Paulo Dybala, mwenye umri wa miaka 25, na muwakilishi wake, na hivyo
kuuweka hatarini mkataba na Juventus wa kubadilishana mchezaji wa safu
ya mashambulizi Mbelgiji Romelu Lukaku, mwenye umri wa miaka 26.
(Independent)

Manchester City imeingia tena katika mazungumzo na
Juventus juu ya kiungo wa safu ya nyuma kulia Mremo Joao Cancelo,mwenye
umri wa miaka 25. (Telegraph)

Mlizi wa England Harry Maguire,
mwenye umri wa miaka 26, ameachwa nje ya kikosi cha Leicester
kitakachocheza mechi ya urafiki baina yao na Atalanta Ijumaa kutokana na
hali ya sintohfahamu juu ya hali ya yake ya baadae na Foxes wanaotaka
mkataba wa pauni milioni 90 ikiwa Manchester United wanasaini mkataba
nae. (Telegraph)

Dau la sasa la Manchester United kwa ajili ya
Maguire ni la thamani ya pauni milioni 80 na klabu hiyo inaweza kutumia
zaidi ya pauni milioni 150 kwa ujumla kabla ya kipindi cha mwisho cha
mchakato wa uhamisho kukamilika (Independent)

Manchester United
ilikataa fursa ya kusaini mkataba na mshambuliaji wa Juventus mwenye
umri wa miaka 19 Moise Kean, na kumruhusu mtaliano huyo kuwa huru
kuhamia Everton. (90min)

Liverpool wanapima uwezekano wa kumnunua
mchezaji wa safu ya mashambulizi wa Bordeaux na Guinea Francois Kamano
na wako tayari kumgaramia kwa pauni milioni 20 kijana huyo mwenye umri
wa miaka 23 . (Sun)

Tottenham wanauangalia mkataba kwa ajili ya
kiungo wa kati wa Sporting Lisbon na Ureno Bruno Fernandes, mwenye umri
wa miaka 24, kama kiungo mbadala wa mchezaji wa Real Beti -Giovani Lo
Celso, mwneye umri wa miaka 23. (Evening Standard)

Betis
wamekataa ofa kadhaa kutoka kwa Tottenham kwa ajili ya mchezaji wa
kimataifa wa Argentina Lo Celso. (SevillaABC – in Spanish)

Kiungo
wa kati- nyuma wa Argentina Nicolas Otamendi, mwenye umri wa miaka 31,
anataka kuendelea kuwepo Manchester City licha ya kuhusishwa na taarifa
za kuihama klabu hiyo.(Sun)

Newcastle wanakaribia kusaini mkataba
na winga wa Ufaransa Allan Saint-Maximin,mwenye umri wa miaka 22,
kutoka Nice katika mkataba wa pauni milioni 16.5 . (Talksport)

Mchezaji
wa safu ya nyuma-kushoto wa Brazil Dani Alves anakaribia kuhamia Sao
Paulo. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 36- yuko huru baada ya kuondoka
Paris St-Germain. (Goal)

Crystal Palace wamefany amawasiliano na
Cardiff City kumuhusu kiungo wa kati wa Real Betis Muhispania Victor
Camarasa mwenye umri wa miaka 25

 

ADVERTISEMENT
Tags: MAGUIREMICHEZOOTAMENDISANE
ADVERTISEMENT
I am Magnifico

I am Magnifico

Related Posts

Tetesi na Habari za Soka Barani Ulaya leo 13/09/2019
ARSENAL

Tetesi na Habari za Soka Barani Ulaya leo 13/09/2019

by I am Magnifico
Sep 13, 2019
0

Gazeti la Tuttosport la nchini Italia linaripoti...

Read more
Tetesi za Usajili Barani Ulaya leo 21/08/2019

Tetesi za Usajili Barani Ulaya leo 21/08/2019

Aug 21, 2019
Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatatu: Isco, Cancelo, Neymar, Mandzukic, Van de Beek, Tarkowski, Ake, Camarasa, Doucoure

Tetesi za Soka Ulaya Leo Jumatatu: Isco, Cancelo, Neymar, Mandzukic, Van de Beek, Tarkowski, Ake, Camarasa, Doucoure

Aug 5, 2019
Tetesi za Soka Ulaya Leo Alhamisi: Coutinho, Pepe, Dybala, Rugani, Koscielny, Sane

Tetesi za Soka Ulaya Leo Alhamisi: Coutinho, Pepe, Dybala, Rugani, Koscielny, Sane

Aug 1, 2019
Tetesi za soka Ulaya leo Jumanne: Rojo, Neymar, Lukaku, Milinkovic-Savic, Dybala

Tetesi za soka Ulaya leo Jumanne: Rojo, Neymar, Lukaku, Milinkovic-Savic, Dybala

Jul 30, 2019
‘UZI’ MPYA WA UGENINI WA JUVENTUS KWA MSIMU WA 2019/2020 HUU HAPA

‘UZI’ MPYA WA UGENINI WA JUVENTUS KWA MSIMU WA 2019/2020 HUU HAPA

Jul 25, 2019
Next Post
NICKI MINAJ ADOKEZA KUHUSU KUWA MJAMZITO NA UJIO WA NDOA PIA

NICKI MINAJ ADOKEZA KUHUSU KUWA MJAMZITO NA UJIO WA NDOA PIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

August 2019
M T W T F S S
« Jul   Sep »
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In