Chombo cha anga la juu ‘Chang’e-4’ China chaanza kazi tena siku ya 15 – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Chombo cha anga la juu ‘Chang’e-4’ China chaanza kazi tena siku ya 15

Mhariri by Mhariri
Feb 19, 2020
in HABARI
0 0
0
Chombo cha anga la juu ‘Chang’e-4’ China chaanza kazi tena siku ya 15
4
SHARES
113
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Chombo cha anga ya juu cha China kinachoitwa Chang’e kimeanza tena kazi yake ya uchunguzi kwa siku ya 15 ya mwandamo baada ya kulala wakati wa usiku wa baridi kali.

Sehemu ya kutua ya chombo hicho iliamka saa 12:57 asubuhi Jumanne, na sehemu ya kuzunguka iliamka saa 11:55 jioni Jumatatu.

ADVERTISEMENT

Habari zilizotolewa na Kituo cha uchunguzi wa mwezini na angani cha taifa la China, sehemu hizo zote mbili ziko katika hali nzuri ya utendaji kazi.

Sehemu ya kuzunguka iitwayo Yutu-2 imesafiri mita 367.25 upande wa mbali wa mwezi, ikiwa na mpango wa kwenda kaskazini magharibi kisha kusini magharibi kuendelea na uchunguzi wa kisayansi.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.
HABARI

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Zaidi ya tsh.Bilioni 800 zitatumika katika kuboresha...

Read more
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Hotuba ya mwisho ya Trump

Hotuba ya mwisho ya Trump

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Next Post
Magazeti ya leo Alhamisi February 20/2020:hofu yatanda Chadema

Magazeti ya leo Alhamisi February 20/2020:hofu yatanda Chadema

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

February 2020
M T W T F S S
« Jan   Mar »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
242526272829  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In