Tigo Kili Half Marathon si mchezo, maandalizi yaanza kwa kasi (+Video) – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Tigo Kili Half Marathon si mchezo, maandalizi yaanza kwa kasi (+Video)

Mhariri by Mhariri
Feb 19, 2020
in HABARI
0 0
0
Tigo Kili Half Marathon si mchezo, maandalizi yaanza kwa kasi (+Video)
2
SHARES
89
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

[pl_row] [pl_col col=12] [pl_text]

Mwaka huu, Tigo imedhamini tena mbio hizi maarufu za Tigo Kili Half Marathon (Km 21) ikiwa ni mara ya tano mfululizo, ili kutoa fursa kwa watanzania na watu kutoka nchi jirani kushiriki, kubadilishana tamaduni,kuburudika na kufurahi kwa pamoja

. Mbio hizi zitafanyika Tarehe 1, Machi katika Chuo cha Ushirika hapa mjini Moshi.Tigo tunafarijika kuwa washirika wa mbio hizi kubwa na za aina yake ambazo zitawakutanisha wadau mbalimbali wakiwamo Viongozi wa Serikali na taasisi,wanariadha wa ndani na nje ya nchi, pamoja na wananchi kutoka maeneo mbalimbali.

Sote tunatambua umuhimu wa mashindano haya hasa kwa washiriki na Taifa kwa ujumla kuwa mbali na kujenga afya ya mwili, mbio hizi zinasaidia kuchochea shughuli za kiuchumi kupitia biashara, kukuza utalii pamoja na kuhamasisha utunzaji wa mazingira.

Hii ni fursa kwa kila mtanzania kushiriki kwenye mbio hizi kubwa hapa nchini, tunapenda kuwahamasisha watanzania wengi zaidi kujiunga kwani mashindano ya mwaka huu yatakuwa na msisimuko wa aina yake.

ADVERTISEMENT

Ningependa pia kuchukua fursa hii kuwambia wafanyabiashara wote wakae mkao wa kula,kwani mwaka huu tunatarajia wageni zaidi elf 15,kuwasili hapa Moshi,kwani kuna watakao kimbia,na ambao watakao kuja kuwashangilia wanaokimbia,na pia wale ambao watakuja kikazi kama waandaji wa mbio hizi.

Usajili wa wakimbiaji umeshakamilika(5,500), watu watachukua namba zao za kukimbilia: -Dar/Mlimani City/22/23 Februari 2020 -Arusha/Kibo Palace Hotel/25/26 Februari 2020 -Moshi/Key Hotel(Urdu road)/27/28 Februari 2020 Kusafiri kwa Reli kuelekea Moshi wakitokea Dar es Salaam.

Vile vile vikundi vya jogging club,pamoja na washindi waliojinyakulia nafasi ya kushiriki mbio hizi watasafiri kuja Moshi tarehe 28/kufika 29 asubuhi kwa train. Tutawapokea kwa mbwembwe asubuhi watakapo wasili.

Washindi

Katika mbio hizi, Tigo inatoa zawadi za kifedha zenye thamani ya Shilingi Milioni 11 kwa washindi 10 wa kwanza wa Kili Half Marathon(wanawake na wanaume).Pia,washiriki 5,500 watakaomaliza Km 21 watapewa medali za heshima.Vilevile, tutatoa vyeti kwa washiriki wote wa Kili Half Marathon.

Tungependa kuwaatarifu wateja wetu kwamba wateja wetu wataweza kuwatumia marafiki, ndugu na jamaa, matukio mbali mbali matukio yatakayokuwa yanaendelea siku hio kupitia mtandao wetu ulioboreshwa kupitia mitandao ya kijamii kwa kutuma picha na video kupitia intaneti ya kasi ya 4G+.

KAULI MBIU: UJANJA NI KUFUTA VILIMA

[/pl_text] [/pl_col] [/pl_row]

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Binti achanganyikiwa baada ya mchumba kutoweka siku chache kabla ya ndoa, apata ufumbuzi
HABARI

Binti achanganyikiwa baada ya mchumba kutoweka siku chache kabla ya ndoa, apata ufumbuzi

by Mhariri
Jan 18, 2021
0

Kwa majina naitwa Aisha Hamisi, umri wa...

Read more
Serikali yapiga marufuku ulaji wa nyama ya Nguruwe

Serikali yapiga marufuku ulaji wa nyama ya Nguruwe

Jan 18, 2021
Naibu Waziri Kipanga aiagiza kamati ya Ujenzi VETA Korogwe kukamilisha ujenzi huo kwa wakati

Naibu Waziri Kipanga aiagiza kamati ya Ujenzi VETA Korogwe kukamilisha ujenzi huo kwa wakati

Jan 18, 2021
Mashirika ya Umma yenye malimbikizo ya madeni TTCL kukatiwa huduma Januari 31

Mashirika ya Umma yenye malimbikizo ya madeni TTCL kukatiwa huduma Januari 31

Jan 18, 2021
Bodi ya maziwa yaiweka kikaangoni kampuni ya maziwa ya Cowbell

Bodi ya maziwa yaiweka kikaangoni kampuni ya maziwa ya Cowbell

Jan 18, 2021
Hospitali ya Uhuru yaanza kutoa Huduma

Hospitali ya Uhuru yaanza kutoa Huduma

Jan 17, 2021
Next Post
Afisa Elimu DSM Azungumzia Hali ya Elimu Mkoa wa Dar es salaam

Afisa Elimu DSM Azungumzia Hali ya Elimu Mkoa wa Dar es salaam

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

February 2020
M T W T F S S
« Jan   Mar »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
242526272829  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In