Watu 20 wafariki India kwa ajali ya Basi kugongana na Lori – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Watu 20 wafariki India kwa ajali ya Basi kugongana na Lori

Mhariri by Mhariri
Feb 20, 2020
in HABARI
0 0
0
Watu 20 wafariki India kwa ajali ya Basi kugongana na Lori
0
SHARES
93
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Watu 20 wakiwemo wanawake watano wamepoteza maisha yao na wengine 28 kujeruhiwa leo Alhamisi nchini India baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori katika jimbo la Tamil Nadu, kusini mwa nchi hiyo,

Waziri wa usafiri katika jimbo la Kerala A.K. Saseendran amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Kwa mujibu wa Saseendran, gurudumu moja la basi hilo lilipasuka na kusababisha dereva kupoteza udhibiti wa gari kisha likagongana na lori hilo lililokuwa likiendeshwa upande mwingine wa barabara kwa mwendo wa kasi zaidi.

ADVERTISEMENT

Hivi sasa, wafanyikazi wa shirika la usafiri wa barabarani jimboni Kerala (KSRTC) wamekimbia kwenye eneo hilo kufanya uchunguzi na kuwasilisha ripoti ya ajali hiyo.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.
HABARI

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Zaidi ya tsh.Bilioni 800 zitatumika katika kuboresha...

Read more
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Hotuba ya mwisho ya Trump

Hotuba ya mwisho ya Trump

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Next Post
Serikali kuajiri madaktari 1000

Serikali kuajiri madaktari 1000

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

February 2020
M T W T F S S
« Jan   Mar »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
242526272829  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In