Waziri Jafo ataka Hospitali ya Wilaya ya Karatu kuwa ya Mfano – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Waziri Jafo ataka Hospitali ya Wilaya ya Karatu kuwa ya Mfano

Mhariri by Mhariri
Feb 23, 2020
in HABARI
0 0
0
Waziri Jafo ataka Hospitali ya Wilaya ya Karatu kuwa ya Mfano
0
SHARES
107
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewataka viongozi wa Wilaya ya Karatu kuhakikisha ujenzi wa hospital ya Wilaya ya Karatu kuwa wa Mfano kwa kuwa itakua inatoa huduma kwa wageni wa nje ya Nchi na wenyeji wa Wilaya hiyo.

Waziri Jafo ametoa agizo hilo wakati alipotembea ujenzi wa Hospital hiyo inayoendelea kujengwa katika Kata ya Daa, kijiji cha Changarawe na Tarafa ya Karatu.

Waziri Jafo amesema “nimefurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa hospitali hii na katika mwaka huu wa fedha tumetenga shilingi milioni 500 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa hospitali hii.

“Fedha hizo zikija kwa kuwa mmeshajenga majengo matatu ya awali angalieni majengo mengine ya kipaumbele ndio myajenge kwa fedha hizo mhakikishe hospitali hii inakamilika tena kwa ubora”. alisema.

Waziri Jafo aliongeza kuwa Hospitali hii itakapokamilika nataka tulete vifaa tiba vyote vinavyohitajika ili muweze kutoa huduma bora kwa wananchi lakin hata na wataliii ambao wamekua wakifika hapa Karatu kwa ajili ya kwenda kwenye vivutio vya Utalii.

“Sio mtalii akipata tatizo kidogo tu la Afya ni mpaka apelekwe Arusha Mjini hilo sasa tutalimaliza kwa kuwa na hospitali nzuri na yenye huduma bora ili watalii hao wapatiwe huduma katika Hospital hii ya Karatu’ alisema Jafo.

Naye Mbunge wa Karatu Mhe. William Kambalo amesema ni mategemeo ya wananchi wa Karatu kuona hospital hiyo inakamilika na inatoa huduma inayostahiki kwa afya ya wana karatu wote.

Wakati huo huo Mwenyekiti wa Halmadhauri ya Karatu Mhe. Lazaro Gege ameahidi kuzisimamia fedha zote zitakazoletwa kwa umakini wa hali ya juu ili kufikia lengo la kupata Hospitali ya Mfano ya Wilaya.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Waziri Moris amesema wameshapikea shilingi milioni 500 kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ambazo zimetumika kujenga majengo matatu ambayo ni Jengo la Wagongwa wa Nje (OPD), Jengo la Utawala pamoja na maabara na kuwa ujenzi wa hospital utaendelea kadiri fedha zinavyoendelea kupatikana.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Viongozi msisite kusema mazuri ya ujenzi wa vituo vya afya – Waziri Jafo
HABARI

Viongozi msisite kusema mazuri ya ujenzi wa vituo vya afya – Waziri Jafo

by Mhariri
Jan 28, 2021
0

Na.WAMJW-Mbogwe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,...

Read more
Watuhumiwa 314 wa uhamiaji haramu wakamatwa Dar, RC Kunenge atoa onyo kali

Watuhumiwa 314 wa uhamiaji haramu wakamatwa Dar, RC Kunenge atoa onyo kali

Jan 28, 2021
MOI yafanikisha uchunguzi wa mishipa ya damu kwenye ubongo bila kufungua fuvu

MOI yafanikisha uchunguzi wa mishipa ya damu kwenye ubongo bila kufungua fuvu

Jan 28, 2021
Chuo cha Uhasibu Arusha chasaini mkataba na TFF kuendeleza soka nchini

Chuo cha Uhasibu Arusha chasaini mkataba na TFF kuendeleza soka nchini

Jan 28, 2021
Waziri Mkuu aipongeza TPSF kwa kutoa ujuzi wa ajira kwa vijana

Waziri Mkuu aipongeza TPSF kwa kutoa ujuzi wa ajira kwa vijana

Jan 28, 2021
TBS yateketeza bidhaa bandia na zilizoisha muda wake zenye thamani ya Milion 40

TBS yateketeza bidhaa bandia na zilizoisha muda wake zenye thamani ya Milion 40

Jan 27, 2021
Next Post
Mchekeshaji Idris Sultan atangaza mapinduzi Bongo Movie (+Video)

Mchekeshaji Idris Sultan atangaza mapinduzi Bongo Movie (+Video)

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

February 2020
M T W T F S S
« Jan   Mar »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
242526272829  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In