Ivory Coast Yapata Pigo. Waziri Mkuu Afariki Baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI KIMATAIFA

Ivory Coast Yapata Pigo. Waziri Mkuu Afariki Baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri

John Vicent by John Vicent
Jul 9, 2020
in HABARI KIMATAIFA
0 0
0
Ivory Coast Yapata Pigo. Waziri Mkuu Afariki Baada ya Kikao cha Baraza la Mawaziri
0
SHARES
40
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Taifa la Ivory Coast limeingia kwenye majonzi mazito baada ya kumpoteza waziri mkuu wa serikali hiyo, hayati Amadou Gon Colibaly aliyefariki mnamo jana jumatano kwa maradhi ya moyo.

Hayati Colibaly ambaye amehudumu kwa nafasi ya waziri mkuu tangu mwaka 2017 chini ya Rais Alassane Outarra amefariki mapema jana muda mfupi baada ya kutoka kwenye kikao cha baraza la mawaziri. Kabla ya kuwa waziri mkuu, hayati Colibaly amewahi pia kuhudumu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi na pia waziri wa kilimo katika serikali ya Ivory Coast.

ADVERTISEMENT

Kifo cha Colibaly kimeleta sintofahamu kubwa hasa kwa kuwa tayari alikuwa ameteuliwa na chama tawala cha nchi hiyo kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo unaotarajiwa kufanyika mnamo mwezi oktoba mwaka huu baada ya Rais aliyopo madarakani, Alessane Ouattara kusema kuwa hatowania muhula wa tatu.

 

 

Tags: HABARI KIMATAIFA
ADVERTISEMENT
John Vicent

John Vicent

Related Posts

Hotuba ya mwisho ya Trump
HABARI

Hotuba ya mwisho ya Trump

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Rais wa 45 wa Marekani, Bwana  Donald...

Read more
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Jan 18, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Tramp Afungiwa Akunti za Twitter na Facebook

Trump apigiwa kura kuondolewa madarakani

Jan 14, 2021
Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Jan 13, 2021
Next Post
Tundu Lissu Atangaza Kurudi Tanzania Mwezi huu

Tundu Lissu Atangaza Kurudi Tanzania Mwezi huu

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

July 2020
M T W T F S S
« Jun   Aug »
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In