Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini akutana na wadau Dodoma – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini akutana na wadau Dodoma

Mhariri by Mhariri
Sep 10, 2020
in HABARI, HABARI TANZANIA
0 0
0
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini akutana na wadau Dodoma
0
SHARES
50
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya leo tarehe 10 Septemba, 2020 amekutana na wadau wa madini jijini Dodoma kwa lengo la kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali.

Wadau waliohudhuria kikao chake ni pamoja ja wawakilishi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Benki na Wizara ya Madini.

Akizungumza kupita mahojiano maalum Profesa Manya amesema kuwa, kikao hicho kitaipa Tume ya Madini picha ya changamoto zilizopo katika Sekta ya Madini kwenye usimamizi na ukusanyaji wa kodi mbalimbali ili Sekta ya Madini iwe na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa Uchumi wa Nchi.

ADVERTISEMENT

“Kama Tume ya Madini tumejipanga katika kuhakikisha Sekta ya Madini inaongeza mchango wake kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi” amesema Profesa Manya.

Akielezea mikakati ya kuwawezesha wachimbaji wadogo amesema kuwa Serikali inahamasisha wachimbaji wadogo kuunda vikundi ili kupatiwa leseni za madini na kuomba mikopo kwenye benki mbalimbali nchini.

Aidha, Profesa Manya amewataka wachimbaji wa madini nchini kuendesha shughuli zao kwa kufuata Sheria ya Madini pamoja na kanuni zake.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi
HABARI

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Na Amiri Kilagalila,Njombe Jeshi la Polisi mkoani...

Read more
Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Jan 22, 2021
Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Jan 22, 2021
Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Jan 22, 2021
IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

Jan 22, 2021
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Next Post
Gari laacha njia na kupinduka

Gari laacha njia na kupinduka

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

September 2020
M T W T F S S
« Aug   Oct »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In