TikTok yaja na mpango wa kuwanufaisha wajasiriamali wa Afrika – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

TikTok yaja na mpango wa kuwanufaisha wajasiriamali wa Afrika

Mhariri by Mhariri
Sep 10, 2020
in HABARI, HABARI TANZANIA
0 0
0
TikTok yaja na mpango wa kuwanufaisha wajasiriamali wa Afrika
0
SHARES
26
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Huduma ya App ya kutuma video ya China, TikTok jana iliwaalika wajasiriamali kujiunga na shindano la kwanza duniani la kutoa mawazo yao ya biashara.

Meneja operesheni ya maudhui wa TikTok katika timu ya Afrika Boniswa Sidabwa, amesema kwenye taarifa kwamba waanzilishi wote wa makampuni mapya yaliyo katika hatua ya awali wa Afrika na Mashariki ya Kati wanapaswa kuwasilisha mawazo yao ya uvumbuzi kwa video ya dakika moja ambayo itaeleza na kuvutia jopo la majaji duniani kabla ya Septemba 24.

ADVERTISEMENT

Sidabwa amesema mpango huo wa ufadhili utawapatia wajasiriamali fursa ya kushindania uwekezaji wenye thamani ya dola za Kimarekani 10,000 na kupatiwa ushauri na Mfuko wa Gritti kwa mwaka mmoja.

Zaidi ya hapo washindi watatu wa mwanzo watazawadiwa nafasi ya pekee ya kushiriki mchezo wa kuruka angani sambamba na kumalizia kuwasilisha mawazo yao kwa hatua ya mwisho.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi
HABARI

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Na Amiri Kilagalila,Njombe Jeshi la Polisi mkoani...

Read more
Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Jan 22, 2021
Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Jan 22, 2021
Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Jan 22, 2021
IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

Jan 22, 2021
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Next Post
TAKUKURU Manyara yasaidiana na Wananchi kurejesha fedha zilizoporwa

TAKUKURU Manyara yasaidiana na Wananchi kurejesha fedha zilizoporwa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

September 2020
M T W T F S S
« Aug   Oct »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In