Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akionesha taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ zilizotolewa na Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya Msingi Ushirika iliyopo katika kata ya Chamaguha Manispaa ya Shinyanga. Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS, Janeth Dutu. Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS Janeth Dutu akimkabidhi Taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya Sekondari Chamaguha na shule ya Msingi Ushirika.
Muonekano wa sehemu ya taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya Msingi Ushirika na shule ya sekondari Chamaguha zilizotolewa Kampuni ya APS.
Muonekano wa sehemu ya maboksi yenye taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya Msingi Ushirika na shule ya sekondari Chamaguha zilizotolewa Kampuni ya APS.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi anayesoma katika shule ya Msingi Ushirika.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi anayesoma katika shule ya Msingi Ushirika.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi wanaosoma katika shule ya Msingi Ushirika. Kushoto ni Afisa Mtendaji Kata ya Chamaguha, Irene Mshandete. Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS, Janeth Dutu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu akielezea lengo la kutoa taulo za kike kwa wanafunzi wa kike katika shule ya msingi Ushirika na shule ya sekondari Chamaguha kuwa ni kusaidia kupunguza utoro shuleni kwani baadhi ya wanafunzi wa kike wamekuwa hawaendi shuleni kutokana na kukosa taulo za kike wanapokuwa katika hedhi.
Waliowahi kuwa wanafunzi wa shule ya msingi Ushirika walioambatana na Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu kutoa taulo za kike kwa wanafunzi wa kike katika shule ya msingi Ushirika wakiwa wamekaa. Wa kwanza kushoto ni Zubery Bundala akifuatiwa na Agnes Mambosasa, Eva Laurent na Sara Elias.
Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu na Sara Elias wakipiga picha na wanafunzi wa shule ya msingi Ushirika.
Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu na waliowahi kuwa wanafunzi wa shule ya msingi Ushirika wakipiga picha ya kumbukumbu na wanafunzi na mmoja wa walimu wa muda mrefu wa shule hiyo baada ya kutoa taulo za kike.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu akimkabidhi Taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma katika shule ya Sekondari Chamaguha iliyopo katika kata ya Chamaguha Manispaa ya Shinyanga leo Jumatatu Novemba 2,2020 katika shule ya Sekondari Chamaguha.
Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu akionesha na kuwaelezea wanafunzi na walimu wa shule ya Sekondari Chamaguha namna taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ zilivyo bora.
Mkurugenzi wa Kampuni ya APS (Aspire Products & Services Co. Ltd), Janeth Dutu akiwaonesha wanafunzi wa shule ya Sekondari Chamaguha namna taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ zilivyo bora.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi wanaosoma katika shule ya Sekondari Chamaguha.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi anayesoma katika shule ya Sekondari Chamaguha. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS, Janeth Dutu.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko akigawa taulo za kike ‘Kipepeo Pad’ kwa mwanafunzi anayesoma katika shule ya Sekondari Chamaguha. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya APS, Janeth Dutu.
Elizabeth Kagongoo kutoka shule ya sekondari Chamaguha akiishukuru Kampuni ya APS kwa kuwapatia taulo za kike.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Mhe. Jasinta Mboneko, Mkurugenzi wa Kampuni ya APS, Viongozi wa kata ya Chamaguha, Manispaa ya Shinyanga, walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Chamaguha wakipiga picha ya kumbukumbu.