Mtoto wa miaka mitatu aokolewa kwenye kifusi siku tatu baada ya tetemeko la Uturuki – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Mtoto wa miaka mitatu aokolewa kwenye kifusi siku tatu baada ya tetemeko la Uturuki

Mhariri by Mhariri
Nov 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Mtoto wa miaka mitatu aokolewa kwenye kifusi siku tatu baada ya tetemeko la Uturuki
0
SHARES
88
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Msichana mwenye umri wa miaka mitatu ameokolewa kutoka kwenye kifusi cha jengo lililoporomoka katika mji wa Izmir magharibi mwa Uturuki, siku tatu baada ya tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 7 katika kipimo cha Richter kutokea katika Bahari ya Aegean.

Mpaka sasa tetemeko hilo limesababisha vifo vya watu wasiopungua 85.

Waokoaji walimtoa msichana huyo, Elif Perinçek, kutoka kwenye kifusi na kumpeleka kwenye gari ya wagonjwa kwa uangalifu wakati wafanyakazi wa dharura wanatafuta watu walionusurika katika majengo mengine manane.

Dada wawili na kaka wa Elif walipatikana wakiwa hai kwenye mabaki pamoja na mama yao Jumamosi, lakini mmoja wa watoto alikufa baadaye. Tetemeko hilo pia limesababisha vifo vya vijana wawili katika kisiwa cha Ugiriki cha Samos.

Mhariri

Mhariri

Related Posts

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza kuziuza  kwa Axian consortium
HABARI

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza kuziuza kwa Axian consortium

by I am Krantz
Apr 19, 2021
0

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza...

Read more

Mwanangu kaacha kutumia pombe na dawa za kulevya, hivi ndivyo alivyosaidika

Apr 19, 2021
Waziri Mwambe ahimiza Watanzania kuunga mkono Benki ya CRDB asema ni Benki ya kizalendo yenye nia ya dhati ya kuwakomboaa wananchi kiuchumi

Waziri Mwambe ahimiza Watanzania kuunga mkono Benki ya CRDB asema ni Benki ya kizalendo yenye nia ya dhati ya kuwakomboaa wananchi kiuchumi

Apr 19, 2021
Waajiri Serikalini Watakiwa Kuwa Na Mabaraza Ya Wafanyakazi Yanayofanya Kazi Kikamilifu

Waajiri Serikalini Watakiwa Kuwa Na Mabaraza Ya Wafanyakazi Yanayofanya Kazi Kikamilifu

Apr 16, 2021
Balozi Mulamula Apokea Nakala Ya Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Balozi Mteule Wa Uturuki

Balozi Mulamula Apokea Nakala Ya Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Balozi Mteule Wa Uturuki

Apr 16, 2021
Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Apr 16, 2021
Next Post
Makaa ya mawe Ruvuma yaingiza Tsh. Bilioni 400

Makaa ya mawe Ruvuma yaingiza Tsh. Bilioni 400

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

November 2020
M T W T F S S
« Oct   Dec »
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
30  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In