Video: Uchaguzi Mkuu Marekani mambo yapamba moto – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Video: Uchaguzi Mkuu Marekani mambo yapamba moto

Mhariri by Mhariri
Nov 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Video: Uchaguzi Mkuu Marekani mambo yapamba moto
0
SHARES
99
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wamarekani wanapiga kura hii leo kumchagua rais atakayeongoza taifa hilo kubwa zaidi kiuchumi duniani kwa mda wa miaka minne ijayo.

Rais wa sasa Donald Trump anatetea nafasi hiyo kupitia chama cha Republican huku aliyekuwa makam wa rais Joe Biden akigombea kupitia chama cha Democratic.

Kufikia jana jumatatu, karibu wapiga kura milioni 100 walikuwa tayari wamepiga kura katika uchaguzi huo. Kura zimepigwa kwa njia ya posta na kwa njia ya kawaida ya mpiga kura kufika katika kituo cha kupigia kura.

Mhariri

Mhariri

Related Posts

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza kuziuza  kwa Axian consortium
HABARI

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza kuziuza kwa Axian consortium

by I am Krantz
Apr 19, 2021
0

Millicom International inayozimiliki Tigo na Zantel yatangaza...

Read more

Mwanangu kaacha kutumia pombe na dawa za kulevya, hivi ndivyo alivyosaidika

Apr 19, 2021
Waziri Mwambe ahimiza Watanzania kuunga mkono Benki ya CRDB asema ni Benki ya kizalendo yenye nia ya dhati ya kuwakomboaa wananchi kiuchumi

Waziri Mwambe ahimiza Watanzania kuunga mkono Benki ya CRDB asema ni Benki ya kizalendo yenye nia ya dhati ya kuwakomboaa wananchi kiuchumi

Apr 19, 2021
Waajiri Serikalini Watakiwa Kuwa Na Mabaraza Ya Wafanyakazi Yanayofanya Kazi Kikamilifu

Waajiri Serikalini Watakiwa Kuwa Na Mabaraza Ya Wafanyakazi Yanayofanya Kazi Kikamilifu

Apr 16, 2021
Balozi Mulamula Apokea Nakala Ya Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Balozi Mteule Wa Uturuki

Balozi Mulamula Apokea Nakala Ya Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Balozi Mteule Wa Uturuki

Apr 16, 2021
Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Apr 16, 2021
Next Post
Sasa waweza kununua tiketi za michezo kidigitali na Tigo Pesa

Sasa waweza kununua tiketi za michezo kidigitali na Tigo Pesa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

November 2020
M T W T F S S
« Oct   Dec »
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
30  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In