Chanjo ya virus vya Corona ya Astrazeneca kupata mafanikio makubwa katika hatua ya Majaribio – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI KIMATAIFA

Chanjo ya virus vya Corona ya Astrazeneca kupata mafanikio makubwa katika hatua ya Majaribio

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Dec 28, 2020
in HABARI KIMATAIFA
0 0
0
Chanjo ya virus vya Corona ya Astrazeneca kupata mafanikio makubwa katika hatua ya Majaribio
0
SHARES
37
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Chanjo ya virus vya Corona inayotengenezwa na kampuni ya Astrazeneca na chuo kikuu cha Oxford imepata mafanikio makubwa katika hatua ya Majaribio na sasa iko tayari kuanza kutumika.

Kupitia gazeti la Sunday Times mkuu wa kampuni ya Astrazeneca amethibitisha kuwa chanjo hiyo inaweza kutoa kinga Kwa asilimia 100 dhidi ya virus vya Corona baada ya Majaribio kadhaa.

Chanjo hiyo inaelezwa kufanyiwa tathimini na taasisi ya udhibiti wa dawa nchini Uingereza.

Kwa mujibu wa gazeti hilo chanjo hiyo inaweza kupewa ithibati Leo disemba 28,na tayari Serikali nchini Uingereza imeagiza Dozi million 100 zigawiwe Kwa watu nchini humo.

Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Watu wazidi kupoteza maisha Myanmar wakipinga utawala wa kijeshi
HABARI

Watu wazidi kupoteza maisha Myanmar wakipinga utawala wa kijeshi

by Ombeni Osward
Mar 29, 2021
0

Jumla ya watu 114 wameuawa katika maandamano...

Read more
Nairobi yapigwa marufuku siku 30

Nairobi yapigwa marufuku siku 30

Mar 27, 2021
China yaijia juu marekani ukiukwaji haki za binadamu

China yaijia juu marekani ukiukwaji haki za binadamu

Mar 25, 2021
Kenya yaipa siku 14 UNHCR kufunga kambi za wakimbizi

Kenya yaipa siku 14 UNHCR kufunga kambi za wakimbizi

Mar 25, 2021
Wakimbizi wa Syria hali mbaya

Wakimbizi wa Syria hali mbaya

Mar 16, 2021
Rwanda yakubali Chanjo ya Corona

Rwanda yakubali Chanjo ya Corona

Mar 16, 2021
Next Post
SIMULIZI;Mume wangu alinifukuza na kuuza vitu vyote tulivyonunua wote nikiwa bado nafanya kazi

SIMULIZI;Mume wangu alinifukuza na kuuza vitu vyote tulivyonunua wote nikiwa bado nafanya kazi

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In