Jota ammwagia sifa Ronaldo – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Jota ammwagia sifa Ronaldo

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Dec 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Jota ammwagia sifa Ronaldo
0
SHARES
25
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Nyota wa Liverpool, Diogo Jota amebaini kuwa Cristiano Ronaldo ndie mchezaji aliemvutia tangu utotoni.

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24 ikiwa ni miaka 12 nyuma ya nyota wa Juventus Ronaldo aliiambia The Athletic:

“Nakumbuka Euro 2004 wakati Ureno ilipofika fainali na kwa bahati mbaya tulipoteza. Nilikuwa na miaka saba na naikumbuka vizuri, Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wangu. Wakati huo, alikuwa na miaka 19 lakini alikuwa tayari anacheza kwenye Euro na ubora mzuri sana.

ADVERTISEMENT

“Wakati wa utoto wangu, alikuwa Manchester United na Real Madrid. Kama vijana wa Ureno, siku zote tulimtazama kama kumbukumbu yetu kuu.”

Hivi sasa wawili hao wanacheza pamoja katika timu ya taifa ya Ureno.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel
HABARI

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

by Ombeni Osward
Jan 19, 2021
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Read more
Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Jan 19, 2021
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Lacazette ananisaidia kuongeza ujasiri – Smith Rowe

Lacazette ananisaidia kuongeza ujasiri – Smith Rowe

Jan 19, 2021
Hospitali ya Uhuru yatibu wagonjwa 300

Hospitali ya Uhuru yatibu wagonjwa 300

Jan 19, 2021
Watumishi wa NCAA watakiwa kuweka Malengo ya Utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya chama tawala 2020 – 2025

Watumishi wa NCAA watakiwa kuweka Malengo ya Utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya chama tawala 2020 – 2025

Jan 19, 2021
Next Post
Bangi yaondolewa kwenye kundi la dawa hatari

Bangi yaondolewa kwenye kundi la dawa hatari

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In