Mkazi wa Biharamulo aibuka mshindi wa gari kwenye promosheni ya Shangwe Shangwena na M PESA. – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BIASHARA

Mkazi wa Biharamulo aibuka mshindi wa gari kwenye promosheni ya Shangwe Shangwena na M PESA.

......wateja watano wengine wazawadiwa shilingi milioni 1 kila mmoja.

I am Krantz by I am Krantz
Dec 2, 2020
in BIASHARA
0 0
0
Mkazi wa Biharamulo aibuka mshindi wa gari kwenye promosheni ya Shangwe Shangwena na M PESA.
0
SHARES
56
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Mkuu wa Kitengo cha Masoko Vodacom Tanzania PLC, Nandi Mwiyombella (katikati )  akichezesha droo ya promosheni ya Vodacom Shangwe Shangwena ambapo  zawadi ya kwanza ya gari aina ya Renault KWID imekwenda kwa Happyness Manembe Appolo mwenye umri wa miaka 46 mkazi wa Biharamulo mkoani Kagera. Jumla ya magari matano, pesa taslimu shilingi milioni 25 na zawadi kemkem zenye thamani ya zaidi ya shilingi 3 bilioni kutolewa ndani ya wiki 5. Kuongeza nafasi ya ushindi fanya miamala ya M-Pesa kadri uwezavyo msimu huu wa sikukuu. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu na Mwakilishi toka Bodi ya michezo ya kubahatisha, Rasul Masoud

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC,  Jacquiline Materu akiongea na mmoja kati ya washindi waliojishindia kitita cha shilingi milioni moja wakati wa kutangaza washindi waliojishindia bahati nasibu ya promosheni ya Vodacom Shangwe Shangwena iliyochezwa ambapo watumiaji watano wa  Vodacom M-PESA wamejishindia pesa taslimu shilingi milioni moja na mmoja wao bi Happyness Manembe Appolo kutoka wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera kujishindia Gari aina ya Renault KWID. Jumla ya magari matano, pesa taslimu shilingi milioni 25 na zawadi zenye thamani ya zaidi ya shilingi 3 bilioni kutolewa ndani ya wiki 5. Kuongeza nafasi ya ushindi fanya miamala ya M-Pesa kadri uwezavyo msimu huu wa sikukuu.

ADVERTISEMENT
Mkuu wa Kitengo cha Masoko Vodacom Tanzania PLC, Nandi Mwiyombella (katikati )  akichezesha droo ya promosheni ya Vodacom Shangwe Shangwena ambapo  zawadi ya kwanza ya gari aina ya Renault KWID imekwenda kwa Happyness Manembe Appolo mwenye umri wa miaka 46 mkazi wa Biharamulo mkoani Kagera. Jumla ya magari matano, pesa taslimu shilingi milioni 25 na zawadi kemkem zenye thamani ya zaidi ya shilingi 3 bilioni kutolewa ndani ya wiki 5. Kuongeza nafasi ya ushindi fanya miamala ya M-Pesa kadri uwezavyo msimu huu wa sikukuu. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu na Mwakilishi toka Bodi ya michezo ya kubahatisha, Rasul Masoud

 

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

Tigo yazindua huduma ya ‘Lipa Kwa Simu’
BIASHARA

Tigo yazindua huduma ya ‘Lipa Kwa Simu’

by I am Krantz
Jan 19, 2021
0

Huduma hii ya malipo, sasa itafahamika kama...

Read more
PATA PATA NA TIGO YAKABIDHI MILIONI 10 KWA WASHINDI WAWILI

PATA PATA NA TIGO YAKABIDHI MILIONI 10 KWA WASHINDI WAWILI

Jan 12, 2021
Arise B.V (Arise) inamiliki 34.9% ya hisa zilizokuwa za Rabobank katika Benki ya NMB ya Tanzania.

Arise B.V (Arise) inamiliki 34.9% ya hisa zilizokuwa za Rabobank katika Benki ya NMB ya Tanzania.

Jan 8, 2021
Jumla ya Shilingi Milioni 20 Zimeshatolewa katika Promosheni ya kila wiki ya NMB MastaBATA

Jumla ya Shilingi Milioni 20 Zimeshatolewa katika Promosheni ya kila wiki ya NMB MastaBATA

Jan 5, 2021
Vodacom Tanzania PLC yatwaa Tuzo ya kwanza ya uandaaji bora wa taarifa za Fedha kwa mwaka 2019

Vodacom Tanzania PLC yatwaa Tuzo ya kwanza ya uandaaji bora wa taarifa za Fedha kwa mwaka 2019

Jan 5, 2021
Vodacom yatamatisha kampeni ya Shangwe Shangwena kwa kukabidhi gari Dodoma

Vodacom yatamatisha kampeni ya Shangwe Shangwena kwa kukabidhi gari Dodoma

Jan 4, 2021
Next Post

Neymar: Sikuja PSG kucheza Europa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In