Mwalimu akamatwa na Polisi kwa kukutwa na mwanafunzi wa kike nyumbani kwake usiku – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Mwalimu akamatwa na Polisi kwa kukutwa na mwanafunzi wa kike nyumbani kwake usiku

Mhariri by Mhariri
Dec 2, 2020
in HABARI
0 0
0
Mwalimu akamatwa na Polisi kwa kukutwa na mwanafunzi wa kike nyumbani kwake usiku
0
SHARES
88
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia mwalimu wa shule ya sekondari ya Vwawa wilayani Mbozi, Paschal Vahaye(35) kwa tuhuma za kukutwa na mwafunzi wa kike wa bweni nyumbani kwake nyakati za usiku kwa nia ya kutaka kufanya mapenzi.

Mwalimu huyo alikamatwa akiwa na mwanafunzi huyo wa kidato cha sita (jina limehifadhiwa) baada ya uongozi wa shule hiyo kuweka mtego kutokana na tuhuma za kuwapo kwa baadhi ya walimu katika shule kujihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.

Mwanafunzi huyo alikutwa chumbani akiwa mtupu.

ADVERTISEMENT

Kamanda wa jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, George Kyando, alithibitisha kushikiliwa kwa mwalimu huyo na kusema kuwa tayari jeshi hilo limefungua jalada la uchunguzi.

 

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

NMB yatoa msaada wa mabati kutekeleza agizo la Waziri Mkuu
HABARI

NMB yatoa msaada wa mabati kutekeleza agizo la Waziri Mkuu

by I am Krantz
Jan 15, 2021
0

 Mkuu wa Wilaya ya Urambo, Angelina Nkwingwa...

Read more
RC Mahenge aliagiza Jiji la Dodoma kudhibiti Ujenzi Holela wa makazi

RC Mahenge aliagiza Jiji la Dodoma kudhibiti Ujenzi Holela wa makazi

Jan 15, 2021
Picha: Makamu wa Rais aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Chamwino Dodoma

Picha: Makamu wa Rais aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Chamwino Dodoma

Jan 15, 2021
NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne, zijue shule 10 zilizoongoza

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne, zijue shule 10 zilizoongoza

Jan 15, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Rais wa Uturuki apewa chanjo ya Corona

Rais wa Uturuki apewa chanjo ya Corona

Jan 15, 2021
Next Post
Wanafunzi wapya 3,544 apatiwa mkopo wa Bilioni 11 na HESLB

Wanafunzi wapya 3,544 apatiwa mkopo wa Bilioni 11 na HESLB

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In