Rais mteule wa Marekani Joe Biden ataka wananchi kuvaa Barakoa siku 100 – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Rais mteule wa Marekani Joe Biden ataka wananchi kuvaa Barakoa siku 100

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Dec 4, 2020
in HABARI
0 0
0
Rais mteule wa Marekani Joe Biden ataka wananchi kuvaa Barakoa siku 100
0
SHARES
36
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Raisi mteule wa Marekani Joe Biden ameahidi kuwa akiapishwa atahakikisha wanaanchi nchini humo humo wanavaa barakoa Kwa siku 100 ili kupunguza maambukizi ya virus vya Corona.

Akifanya mahojiano na kituo cha habari CNN alisema kuwa akiapishwa atatoa amri kuhakikisha wananchi wote nchini humo wanavaa barakoa hususa ni katika ofisi za serikali.

“Siku ya Kwanza nikiapishwa nitawaomba wananchi wote kuvaa barakoa Kwa siku 100 tu na sio milele, nadhani hii itasaidia kupunguza Kasi ya maambukizi ya virusi vya corona” Alisema Biden.

ADVERTISEMENT

Mpaka sasa Marekani inaripotiwa kuwa na zaidi ya visa milioni 2 na watu zaidi ya laki 2 kupoteza maisha kutokana na Corona.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi
HABARI

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Na Amiri Kilagalila,Njombe Jeshi la Polisi mkoani...

Read more
Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Jan 22, 2021
Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Jan 22, 2021
Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Jan 22, 2021
IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

Jan 22, 2021
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Next Post
Didier Drogba: Maradona na Michael Jackson ndo watu walionivutia zaidi duniani.

Didier Drogba: Maradona na Michael Jackson ndo watu walionivutia zaidi duniani.

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In