Ronaldo ashukuru kufikisha mabao 750 – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Ronaldo ashukuru kufikisha mabao 750

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Dec 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Ronaldo ashukuru kufikisha mabao 750
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Nyota wa juventus Ronaldo amewashukuru Mashabiki na wachezaji wenzake kumfanya afikishe mabao 750 katika maisha yake ya soka.

Ronaldo alifunga goli hilo dakika ya 57 katika mchezo uliomalizika Kwa Juventus kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Dynamo Kiev kwenye Ligi ya mabingwa barani Ulaya katika kundi G

Kupitia  mtandao wa Twitter Ronaldo aliandika.
“Nawashukuru wachezaji, Makocha mlionifanya kufikia hatua hii asante Kwa wote mlionisaidia katika juhudi zangu”.

ADVERTISEMENT

ushindi wa Juventus umewaweka katika nafasi ya pili kwenye kundi G wakiwa na jumla ya alama 12 ikiwa ni alama 3 nyuma dhidi ya Barcelona walioko kileleni wakiwa na jumla ya alama 15.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Picha: Makamu wa Rais aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Chamwino Dodoma
HABARI

Picha: Makamu wa Rais aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Chamwino Dodoma

by Mhariri
Jan 15, 2021
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

Read more
NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne, zijue shule 10 zilizoongoza

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne, zijue shule 10 zilizoongoza

Jan 15, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Rais wa Uturuki apewa chanjo ya Corona

Rais wa Uturuki apewa chanjo ya Corona

Jan 15, 2021
Serikali yawakaribisha wawekezaji katika sekta ya mawasiliano hapa nchini

Serikali yawakaribisha wawekezaji katika sekta ya mawasiliano hapa nchini

Jan 15, 2021
Waziri Aweso asitisha agizo la EWURA kupandisha Ankara za Maji

Waziri Aweso asitisha agizo la EWURA kupandisha Ankara za Maji

Jan 15, 2021
Next Post
Wananchi wilayani Nyamagana wamuomba Mbunge kuboresha miundombinu

Wananchi wilayani Nyamagana wamuomba Mbunge kuboresha miundombinu

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In