Wananchi wilayani Nyamagana wamuomba Mbunge kuboresha miundombinu – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Wananchi wilayani Nyamagana wamuomba Mbunge kuboresha miundombinu

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Dec 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Wananchi wilayani Nyamagana wamuomba Mbunge kuboresha miundombinu
0
SHARES
33
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Wananchi wilayani Nyamagana mkoani Mwanza wametoa kero zao wakimuomba Mbunge wa jimbo la Nyamagana Ndg. Stanslaus Mabula aweze kuwakumbuka katika miundimbinu mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara ili kuweza kufanikisha utendaji wa kazi kirahisi.

Wengi wao wamelalamikia kuhusu ndoa zao kuvunjika kutokana na kushindwa kuwatimizia mahitaji yao, juu ya miundombinu hafifu ikiwemo kuchelewa kurudi majumbani mwao.

Meneja wa TLULA mkoani humo Eng. Mohamed Mhanda akiongea na wananchi jijini humo ameahidi kuwa barabara hizo zipo kwenye mpango wa serikali na tayari washaweka bajeti

“Changamoto nimeziona lakini tushaweka ahadi kuwa barabara hizi tutazitengeneza mwaka huu wa fedha jumla ya bajeti kukamilisha miradi hiyo ni Bilioni 3 milion 442 na tunatarajia kukamilisha miradi hii mwishoni mwa mwezi wa tano”

ADVERTISEMENT

Aidha Eng.Mhanda ameahidi kushirikiana na viongozi wa serikali ili kukamirisha miradi hiyo kwa wakati na kwa viwango bora.

 

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel
HABARI

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

by Ombeni Osward
Jan 19, 2021
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Read more
Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Jan 19, 2021
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Lacazette ananisaidia kuongeza ujasiri – Smith Rowe

Lacazette ananisaidia kuongeza ujasiri – Smith Rowe

Jan 19, 2021
Hospitali ya Uhuru yatibu wagonjwa 300

Hospitali ya Uhuru yatibu wagonjwa 300

Jan 19, 2021
Watumishi wa NCAA watakiwa kuweka Malengo ya Utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya chama tawala 2020 – 2025

Watumishi wa NCAA watakiwa kuweka Malengo ya Utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya chama tawala 2020 – 2025

Jan 19, 2021
Next Post
Bilioni 4 zatengwa kuimarisha miundombinu Jangwani

Bilioni 4 zatengwa kuimarisha miundombinu Jangwani

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In