Watu 9 wafariki na wengine180,000 waathirika na kimbunga Somalia – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Watu 9 wafariki na wengine180,000 waathirika na kimbunga Somalia

Mhariri by Mhariri
Dec 2, 2020
in HABARI
0 0
0
Watu 9 wafariki na wengine180,000 waathirika na kimbunga Somalia
0
SHARES
34
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Watu tisa wamefariki na wengine 180,000 kuathiriwa na kimbunga Gati kilichotokea nchini Somalia.

Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema, inakadiriwa kuwa mifugo 7,500 ikiwemo ngaramia, kondoo na mbuzi pia imekufa kutokana na kimbunga hicho kilichosababisha uharibifu mkubwa katika maeneo ya Xaafuun, Karduush na Hurdiye.

ADVERTISEMENT

Tathmini iliyofanywa na OCHA imeonyesha kuwa, kimbunga hicho pia kimeharibu karibu asilimia 75 ya majengo yanayomilikiwa na watu binafsi katika maeneo ya Xaafuun, Dardaare, Hurdiye na Karduush.

Pia shule, hospitali, ofisi za serikali na karibu asilimia 80 ya makazi ya watu zimeharibiwa na kimbunga hicho.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar
HABARI

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP...

Read more
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Naibu Waziri Kipanga aagiza Vyuo vya VETA kwenye Wilaya 25 vyote vikamilike kwa wakati

Naibu Waziri Kipanga aagiza Vyuo vya VETA kwenye Wilaya 25 vyote vikamilike kwa wakati

Jan 22, 2021
Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato (+video)

Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato (+video)

Jan 22, 2021
Rais wa Zanzibar akutana na IGP Sirro

Rais wa Zanzibar akutana na IGP Sirro

Jan 22, 2021
Waziri Aweso awaagiza SUMAJKT kuongeza nguvu kazi kwenye ujenzi wa tanki la Maji Chamwino

Waziri Aweso awaagiza SUMAJKT kuongeza nguvu kazi kwenye ujenzi wa tanki la Maji Chamwino

Jan 22, 2021
Next Post
RC Mahenge aagiza TARURA, TANESCO na DUWASA kupeleka huduma maeneo ya uwekezaji

RC Mahenge aagiza TARURA, TANESCO na DUWASA kupeleka huduma maeneo ya uwekezaji

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In