Zaidi ya milioni 700 zakabidhiwa kwa vikundi 72 Njombe – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Zaidi ya milioni 700 zakabidhiwa kwa vikundi 72 Njombe

Mhariri by Mhariri
Dec 3, 2020
in HABARI
0 0
0
Zaidi ya milioni 700 zakabidhiwa kwa vikundi 72 Njombe
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na Amiri Kilagalila-Njombe

Zaidi ya Shilingi milioni 700 zimetolewa kama mkopo kwa vikundi 72 vya kata 11 za Halmashauri ya Mji wa Njombe toka kwenye mapato yake ya Ndani kama sheria inavyoelekeza kutengwa kwa asilimia kumi ya mapato.

Enembora Lema ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya mji wa Njombe Ambaye Amesoma Taarifa ya Fedha Hizo na Kwamba Kila Mwaka Halmashauri Hiyo Imekuwa Ikitoa Mikopo Kama Sheria Inavyoelekeza.

“Fedha hizi zinatolewa kila robo kwa kutegemea makusanyo,hivyo leo utakabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni mia saba laki tisa kwa vikundi vya kiuchumi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu”Alisema Enembora Lema kwenye taarifa yake

Mkuu wa mkoa wa Njombe Mhandisi Marwa Rubirya Amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe na Idara yake ya Maendeleo ya Jamii Kuhakikisha Anafuatilia Matumizi ya Fedha Hizo kama zinatumika kama Zilivyoombwa na Kutakiwa kurejeshwa ili makundi mengine Yaweze Kupata.

“Mikopo hii itumike kwa malengo yaliyokusudiwa msije mkachukua fedha hizi kama vikundi mnafika kule mnagawana kununua baiskeli na mwingine analipa ada ya watoto.Sio lengo ya mikopo hii”alisema Marwa Rubirya

ADVERTISEMENT

“Nikuagize mkurugenzi wa halmashauri ya mji kupitia idara yako ya maendeleo ya jamii mfuatilie vikundi hivi kuhakikisha shughuli zilizolengwa kufanyika ndizo zinazofanyika”aliongeza Rubirya

Baadhi ya Wanavikundi hivyo toka kundi la wanawake,Walemavu na Vijana Deodata Mlowe,Gislaly Mwalongo na Acrey Chatanda Wameahidi Kwenda Kuzifanyia Kazi fedha hizo kadri ya Malengo yao na Kwamba Hawatazifuja kwa matumizi mengine.

ADVERTISEMENT
Mhariri

Mhariri

Related Posts

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi
HABARI

Walimu wamtoa mimba mwanafunzi, wakamatwa na Polisi

by Mhariri
Jan 22, 2021
0

Na Amiri Kilagalila,Njombe Jeshi la Polisi mkoani...

Read more
Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Serikali yajipanga kumaliza changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini

Jan 22, 2021
Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Amuua mdogo wake kisa kuku kuingia kwenye shamba lake

Jan 22, 2021
Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Mkuu wa Majeshi ya Malawi kushiriki mashindano ya Golf ya Johnnie Walker Waitara Trophy

Jan 22, 2021
IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

IGP Sirro akemea vitendo vya udhalilishaji Zanzibar

Jan 22, 2021
Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Kiwanda cha Twiga Cement wamkabidhi RC Kunenge mifuko 800 ya Saruji

Jan 22, 2021
Next Post
TANZIA: Rais wa zamani wa Ufaransa afariki dunia

TANZIA: Rais wa zamani wa Ufaransa afariki dunia

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

December 2020
M T W T F S S
« Nov   Jan »
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In