ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI TANZANIA

ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
in HABARI TANZANIA
0 0
0
ACT Wazalendo yajipanga kutetea Wanufaika wa mikopo ya Elimu ya juu
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ACT Wazalendo Abdul Nondo, amesema kuwa ACT imejipanga katika kutetea wanufaika wa mkopo unaotolewa na bodi ya mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu Tanzania HESLB, ili kuweza kupunguzwa kwa ukubwa wa deni hilo.

Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za ACT Wazalendo zilizopo kijitonyama, ametolea ufafanuzi wa sheria iliyowekwa na bodi ya mikopo ya mwaka 2016, na kudai kuwa sheria hiyo inakiuka katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 23 (1), inayomtaka mtu kulipwa ujira kutokana na kazi unayoifanya.

Ngome ya ACT Wazalendo wamedhamiria kufungua kesi ili kuwepo kwa marekebisho ya sheria hiyo ili kupunguza makato ya fedha hizo. kwa lengo la kupunguza ukubwa deni hilo, na changamoto zinazowakabiri wanufaika hao.

Aidha ameiomba serikali kupunguza asilimia za makato na adhabu zinazotokana na mkopo huo kitendo kinachowafanya watu kukwepa kulipa fedha hizo

ADVERTISEMENT

Kuweka wazi ufafanuzi wa asilimia zinazokatwa katika ujira wao ili kuwafanya wanufaika wasilikimbie deni hilo.

Wakati huo huo Nondo ameeleza mikakati iliyoandaliwa na chama hicho katika kuwatetea wanufaika wa mikopo hiyo ikiwemo kushirikiana na wadau mbalimbali kwaajili ya kupigania mabadiriko ya deni hilo.

Kukosoa kwa kupereka barua mamlaka husika ili kuzitatua changamoto zinazowakabiri wahanga wa mkopo huo.

Kutumia wabunge walioteuliwa kuhoji juu ya changamoto hizo na kupinga sheria za mkopo.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.
HABARI

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Zaidi ya tsh.Bilioni 800 zitatumika katika kuboresha...

Read more
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Jan 19, 2021
Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Kijana amuua babu yake kumnusuru na mateso

Jan 19, 2021
Next Post
Mvua zaleta Majanga Mtwara

Mvua zaleta Majanga Mtwara

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In