Askari watakaoshinwa kubaini Wahamiaji haramu kuwajibishwa – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI TANZANIA

Askari watakaoshinwa kubaini Wahamiaji haramu kuwajibishwa

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 18, 2021
in HABARI TANZANIA
0 0
0
Askari watakaoshinwa kubaini Wahamiaji haramu kuwajibishwa
0
SHARES
44
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema askari watakaoshindwa kuwabaini Wahamiaji haramu hususani maeneo ya mipakani wanapoingilia watawajibishwa.

Waziri Simbachawene amesema kitendo cha wahamiaji haramu kukamatwa maeneo mbalimbali ndani ya nchi, ambayo siyo mipakani ni kutokana na kuwepo na mawakala wanaofanikisha wahamiaji hao kuingia nchini.

Pia Simbachawene aliwataka wanafunzi wa Kambi hiyo kuzingatia masomo ya Kiuhamiaji wanayopewa yakiwemo ya uongozi na utawala, masuala ya kikonsula, mawasiliano, ulinzi wa kujihami na gwaride.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya uongozi kwa maafisa na askari wa uhamiaji katika kambi mpya ya mafunzo ya Boma Kichaka Miba, iliyopo Wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Simbachawene amesema watawashughulikia askari wote wanaoingia katika mkoa ya mipakani ambapo wanaingia kwa mara ya kwanza wahamiaji hao.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa huo, Martine Shigela aliwataka waishio jirani na kambi hiyo kutoa ushirikiano na kambi hiyo, na pia wasivamie maeneo ya kambi hiyo ya Uhamiaji wakaona vichaka wakafikiri ni eneo ambalo halina mwenyewe na wakavamia.

Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Mfumo wa Elimu kidato cha tano kubadilika
HABARI

Mfumo wa Elimu kidato cha tano kubadilika

by Ombeni Osward
Mar 29, 2021
0

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi)...

Read more
Serikali kuendelea kuzipatia ufumbuzi Changamoto za Muungano

Serikali kuendelea kuzipatia ufumbuzi Changamoto za Muungano

Mar 29, 2021
Miaka 30 jera kwa wizi wa simu

Miaka 30 jera kwa wizi wa simu

Mar 26, 2021
Ratiba ya kumuuaga hayati JPM Mwanza

Ratiba ya kumuuaga hayati JPM Mwanza

Mar 24, 2021
Hata Nyerere Alilaumiwa – Warioba

Hata Nyerere Alilaumiwa – Warioba

Mar 19, 2021
Mh.Samia kuwa Rais wa 10 mwanamke Afrika

Mh.Samia kuwa Rais wa 10 mwanamke Afrika

Mar 19, 2021
Next Post
Hospitali ya Bugando yakabiliwa na uhaba wa fedha

Hospitali ya Bugando yakabiliwa na uhaba wa fedha

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec   Feb »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In