Dkt. Mollel Ataka Watalaam wa Tehama Kutengeneza Mfumo wa Ufuatiriaji wa Dawa – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Dkt. Mollel Ataka Watalaam wa Tehama Kutengeneza Mfumo wa Ufuatiriaji wa Dawa

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
in HABARI
0 0
0
Dkt. Mollel Ataka Watalaam wa Tehama Kutengeneza Mfumo wa Ufuatiriaji wa Dawa
0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amewataka wataalam wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika hospitali kutengeneza mfumo wa ufutaliji wa dawa hospitalini ili kuwa na kanzidata ya matumizi sahihi ya dawa.

“Kila dawa inayokuja mtutengenezee mfumo ambao tunaona dawa kutoka taifa, unaiona inaingia mkoani, Hospitali ya Wilaya, vituo vya vyote na tuone ni aina gani ya dawa imeingia” Amesema Dkt. Mollel
Amesema mfumo huo utawasaidia kutambua mgawanyo wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya pamoja na kuwasaidia viongozi kuwa na taarifa sahihi wakati wanashughulikia malalamiko ya uhaba wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya hivyo kuwasaidia katika kufanya maamuzi.

“Mnafeli kwenye kufanya maamuzi na wakati mwingine tunaona hamjafanya maamuzi ya busara kumbe mmejifelisha kwa sababu mnashindwa kupata takwimu halisi za magonjwa, idadi ya wagonjwa na mahitaji ya dawa” Amefafanua Dkt. Mollel

ADVERTISEMENT

Amesema kushindwa kwa wataalam hao kuwa na takwimu sahihi zinasababisha kuwa na mahitaji yasiyo na uhalisia upatikanaji wa dawa.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.
HABARI

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Zaidi ya tsh.Bilioni 800 zitatumika katika kuboresha...

Read more
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Hotuba ya mwisho ya Trump

Hotuba ya mwisho ya Trump

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Next Post
Waziri Jafo aagiza Wakurugenzi wa Halmashauri 5 kujieleza kwa Katibu Mkuu TAMISEMI

Waziri Jafo aagiza Wakurugenzi wa Halmashauri 5 kujieleza kwa Katibu Mkuu TAMISEMI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In