Maalim Seif Amshukuru JPM kuimarisha Umoja na Mshikamano – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Maalim Seif Amshukuru JPM kuimarisha Umoja na Mshikamano

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
in HABARI
0 0
0
Maalim Seif Amshukuru JPM kuimarisha Umoja na Mshikamano
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Mhe.Maalim Seif amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt John Pombe Magufuli, kwa kuendeleza na Kuimarisha umoja na mshikamano katika visiwa vya Pemba na Unguja, leo ikulu Ndogo Chato.

 

“Niseme tulikua na mazungumzo mazuri mazungumzo ya kidugu na mazungumzo ambayo mimi natumaini kwamba Kiongozi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yuko pamoja na sisi, hasa katika swala zima la kuimarisha umoja, Upendo na Maelewano katika visiwa vya Unguja na Pemba.

ADVERTISEMENT

“Nimefarijika sana kumsikia mwenyewe Mheshimiwa Rais akituhakikishia kwamba yuko pamoja na sisi na atatuunga Mkono kwa hali na Mali kwahivyo Mheshimiwa Rais nakushukuru sana,”.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Wakusanya ushuru wa huduma wapigwa msasa
HABARI

Wakusanya ushuru wa huduma wapigwa msasa

by Mhariri
Jan 21, 2021
0

Nteghenjwa Hosseah,Singida Mkurugenzi Msaidizi wa Fedha Idara...

Read more
Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

Jan 21, 2021
Waziri Mkuu aagiza na tozo za Mkonge zifanyiwe mapito

Waziri Mkuu aagiza na tozo za Mkonge zifanyiwe mapito

Jan 21, 2021
Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Jan 20, 2021
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Waziri Jafo aagiza shule ya Msingi Nkuhungu kufanyiwa ukarabati haraka

Jan 20, 2021
Next Post
Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In