Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani – Mwanaharakati Mzalendo
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home BURUDANI

Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 6, 2021
in BURUDANI
0 0
0
Maisha Magic Bongo yazidisha uhondo wa Burudani
0
SHARES
45
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Maisha Magic Bongo chaneli namba 160 kupitia king’amuzi cha DStv imewazidishia uhondo wa burudani watazamaji wake baada ya kuja na tamthilia mpya zitakazokonga mioyo ya wapenzi wa tamthilia kutokana na ubora wa tamthilia hizo.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamthilia mpya ya Jua Kali na Pazia zitakazoanza kurushwa kuanzia januari 2021 kwenye chaneli ya MMB Dstv 160, katibu mtendaji  wa bodi ya filamu Tanzania Dr. Kiagho Kilonzo, amesema kuwa serikali inathamini na kutambua mchango mkubwa wa MultChoice katika kukuza na kuendeleza tasnia ya filamu hapa nchini. amesema kitendo cha chaneli ya Maisha Magic Bongo kuwa na maudhui mengi ya ndani kimekuwa kumekuwa ni chachu ya ajira nyingi katika tasnia lakini pia kumeongeza ushindani na ubora wa kazi za uzarishaji wetu.

Pia ameongeza kuwa yeye binafsi amekuwa akiwatembelea wasanii na kujionea uzarishaji wa filamu na maudhui mengine.

Kilonzo amewataka wasanii kutumia fursa hii vizuri na kuhakikisha kuwa wanaongeza ubora wa kazi zao ili ziweze kushindana katika soko la ndani na nje na hivyo tasnia ya filamu kuongeza mchango wake katika uchumi wa wasanii na taifa kwa ujumla.

Naye mkuu wa masoko wa MultChoice Tanzania Ronald Shelukindo, amesema mbali na kutumia wasanii na waigizaji wakongwe , wamehakikisha kuwa kuna mchanganyiko na waigizaji wapya na vijana ambao wanaleta vionjo vipya na vya kisasa  na kuzifanya tamtilia hizo kuvutiwa na watazamaji wa rika zote.

“kila mara tunaleta maudhui kulingana na matakwa ya wateja wetu, tunahakikisha kuwa tunawapatia maudhui yetu.”

Pia Ronald ameongeza kuwa wanafurahi sana kufanya kazi na wazalishaji wa waigizaji Tanzania na hivyo kuzid kukuza vipaji vya wasanii wetu na kuwapa ulingo wa kuonyesha umahiri wao katika fani.

Tamthilia mpya ya Pazia inaonekana kuanzia Jumatatu hadi jumatano saa 1:30 jioni. Huku tamthilia ya ya jua kali itaanza kutingisha jiji leo januari 6,2021 kuanzia saa 3:30 usiku jumatano hadi ijumaa.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa
BURUDANI

Wateja wa Tigo Zanzibar kulipa bili za maji kwa Tigo Pesa

by I am Krantz
Jan 14, 2021
0

MAMLAKA ya Maji Visiwani Zanzibar (ZAWA), kwa...

Read more
WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI  KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

WAZIRI BASHUNGWA AUNGANA NA MAMIA YA MASHABIKI KATIKA TAMASHA LA XXL UNI BASH 2020

Dec 20, 2020
Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Harmonize hataki tumsifie Diamond-Baba levo

Dec 14, 2020
Kamishina  wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Kamishina wa Bima aipongeza Benki ya CRDB kuanzisha huduma ambatanishi ya bima kwa wateja

Dec 7, 2020
SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

SHUHUDIA KIVUMBI TIMU YA DSTV NA KCB, WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Oct 10, 2020
CHAKWERA ;NAITAMANI KASI YA MAGUFULI/YANGA NI KICHEKO TU/KAGERE MWACHENI TU.>>>>MAGAZETINI LEO ALHAMISI

CHAKWERA ;NAITAMANI KASI YA MAGUFULI/YANGA NI KICHEKO TU/KAGERE MWACHENI TU.>>>>MAGAZETINI LEO ALHAMISI

Oct 8, 2020
Next Post
Guardiola ammiminia sifa John Stones

Guardiola ammiminia sifa John Stones

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec   Feb »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In