Manchester United ipo tayari kuikabiri Liverpool – Pogba – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home MICHEZO

Manchester United ipo tayari kuikabiri Liverpool – Pogba

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 13, 2021
in MICHEZO
0 0
0
Manchester United ipo tayari kuikabiri Liverpool – Pogba
0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Nyota wa Manchester United Paul Pogba alisema Mashetani Wekundu wako tayari kwa pambano lao dhidi ya Liverpool baada ya kuwa kileleni mwa Ligi ya Premia.

 

United ana alama tatu mbele ya wapinzani wao Liverpool kabla ya pambano la Jumapili huko Anfield.

 

“Utakuwa mchezo mzuri kwa kila pande,” Pogba aliiambia BBC Sport,

“Ni mchezo mkubwa unaokuja kwa hivyo tujiandae.”

United, wakati huo huo, hawajafungwa katika mechi zao 15 za ugenini kwenye Ligi ya Premia tangu waliposhindwa 2-0 na Liverpool mnamo Januari mwaka jana, vilevile Liverpool hawajawahi fungwa uwanja wa nyumbani.

 

“Tulijua ikiwa tutashinda usiku wa leo tutakuwa juu ya ligi tutakapocheza na Liverpool,” alisema Pogba,

ADVERTISEMENT

 

“Tunapaswa kutulia, sasa ni wakati mzuri. Tutaona nini kitatokea.”

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Barcelona yahofia kumkosa Messi fainali za Supercopa de Espana
MICHEZO

Barcelona yahofia kumkosa Messi fainali za Supercopa de Espana

by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
0

Kocha mkuu wa Barcelona Ronald Koeman hana...

Read more
Yanga waongeza Kitasa kutokea Mtibwa

Yanga waongeza Kitasa kutokea Mtibwa

Jan 11, 2021
Nilijaribu Kumsaidia Özil Kadri ya uwezo wangu – Arteta

Nilijaribu Kumsaidia Özil Kadri ya uwezo wangu – Arteta

Jan 9, 2021
Manchester United wathibitisha kuwasili kwa Amad Diallo

Manchester United wathibitisha kuwasili kwa Amad Diallo

Jan 8, 2021
Rashford ndie Mchezaji mwenyethamani zaidi ligi kuu za Uropa

Rashford ndie Mchezaji mwenyethamani zaidi ligi kuu za Uropa

Jan 7, 2021
Korea Kaskazini yakiri kutotimiza Malengo yao ya kiuchumi

Korea Kaskazini yakiri kutotimiza Malengo yao ya kiuchumi

Jan 7, 2021
Next Post
Mke amkamata rafiki yake wa karibu akitembea na mumewe

Mke amkamata rafiki yake wa karibu akitembea na mumewe

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In