Mvua zaleta Majanga Mtwara – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI TANZANIA

Mvua zaleta Majanga Mtwara

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
in HABARI TANZANIA
0 0
0
Mvua zaleta Majanga Mtwara
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mvua zinazoendele Mtwara zimesababisha watu kukosa makazi ikiwa ni nyumba 177 zikisombwa na maji huku nyumba 315 zikijaa maji kutokana na mvua kali zinazoendelea kunyesha katika maeneo hayo.

Serikali iliandaa kambi mbalimbali kuwahifadhi waathirika wa janga hilo ambapo ilitenga Shule na Vyuo lakini Mkuu wa Mkoa, Gelasius Byakanwa, amesema watu walioharibiwa makazi walilala kwa jamaa zao.

ADVERTISEMENT

Byakanwa amesema hali si nzuri ambapo amewashauri Wananchi wafike maeneo yaliyopangwa ili kusaidiwa kwa urahisi zaidi hasa huduma za kibinadamu

Taarifa kutoka kwa Mamlaka ya Hali ya Hewa inaonesha Mvua zitaendelea Kunyesha hivyo, Wananchi wanatakiwa kutoka katika maeneo yenye maji na kwenda sehemu zilizotengwa kwaajili ya usalama wa maisha yao.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria
HABARI

Viongozi wanne kizimbani kuuza aridhi kinyume na sheria

by Ombeni Osward
Jan 21, 2021
0

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

Read more
Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Zaidi ya Bilioni 800 kutumika ujenzi wa miundombinu ya maji nchini.

Jan 20, 2021
Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Bweni lililochomwa moto 2018 laungua tena,kura zapigwa kubaini mhusika

Jan 20, 2021
Dkt. Gwajima Akemea vikali Ubadhirifu wa Dawa

Vituo vya afya vyatakiwa kuwa na mkataba wa huduma Kwa wateja

Jan 20, 2021
Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Nyaraka za Serikali kuandikwa kwa Kiswahili

Jan 20, 2021
Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Rais Magufuli ashuhudia utiaji saini mkataba wa uchimbaji wa madini ya Nickel

Jan 19, 2021
Next Post
Maalim Seif Amshukuru JPM kuimarisha Umoja na Mshikamano

Maalim Seif Amshukuru JPM kuimarisha Umoja na Mshikamano

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In