Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano – Mwanaharakati Mzalendo
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI

Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 21, 2021
in HABARI, HABARI TANZANIA
0 0
0
Serikali ya umoja wa kitaifa yaridhia kuendeleza aman, umoja na mshikamano
0
SHARES
31
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa imedhamiria kuendeleza amani, umoja na mshikamano kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambayo inakwenda sambamba na misingi ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere.

Dk. Hussein Mwinyi aliyasema hayo leo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ukiongozwa na Mkurugenzi wake Joseph Butiku uliofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kwua Rais wa Zanzibar pamoja na kuendeleza Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Katika maelezo yake Rais Dk. Mwinyi alisema kuwa kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa imeweza kuimarisha amani, umoja na mshikamano hapa Zanzibar hatua ambayo ni chachu ya maendeleo na imekuwa ikisisitizwa siku zote na Taasisi ya Mwalimu Nyerere.

Alisema kuwa hivi sasa kumekuwepo maelewano na mashirikiano makubwa kati ya viongozi pamoja na wananchi walio wengi wa Zanzibar hali ambayo imepelekea kuimarika kwa umoja, amani na mshikamano tokea kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 hapa nchini.

Aliongeza kuwa hatua hiyo imefikiwa kutokana na maridhiano yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ambayo lengo na madhumuni yake makubwa ni kuendeleza umoja, amani na mshikamano ili Zanzibar izidi kupata maendeleo na wananchi wake wazidi kuelewana.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Auto Draft
HABARI

FAINALI NMB MASTABATA WIKI IJAYO, 424 WAZOA ZAWADI

by I am Krantz
Feb 24, 2021
0

 Meneja Huduma za Kadi wa Benki ya...

Read more
Mamia wajitokeza kujisajili na Mbio za Kili Marathon Jijini Dar Es Salaam

Mamia wajitokeza kujisajili na Mbio za Kili Marathon Jijini Dar Es Salaam

Feb 23, 2021
BODI YA USAJILI WA WABUNIFU MAJENGO YAHAMASISHA WANAFUNZI KUPENDA FANI HIYO

BODI YA USAJILI WA WABUNIFU MAJENGO YAHAMASISHA WANAFUNZI KUPENDA FANI HIYO

Feb 23, 2021
Wateja wa Vodacom kuvuna Shilingi 4.1 bilioni za faida ya kutumia M-Pesa.

Wateja wa Vodacom kuvuna Shilingi 4.1 bilioni za faida ya kutumia M-Pesa.

Feb 23, 2021
BENKI YA NMB YAKABIDHI MABATI 200 KWA AJILI YA UKARABATI WA SHULE YA SEKONDARI YA JAMBIANI, KUSINI UNGUJA

BENKI YA NMB YAKABIDHI MABATI 200 KWA AJILI YA UKARABATI WA SHULE YA SEKONDARI YA JAMBIANI, KUSINI UNGUJA

Feb 23, 2021
BENKI YA NMB YATOA VIFAA VYA MILIONI 50 MOROGORO, DODOMA NA SINGIDA

BENKI YA NMB YATOA VIFAA VYA MILIONI 50 MOROGORO, DODOMA NA SINGIDA

Feb 23, 2021
Next Post
NMB yajipanga kusaidia kufufuliwa zao la Mkonge nchini

NMB yajipanga kusaidia kufufuliwa zao la Mkonge nchini

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec   Feb »
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In