Trump apigiwa kura kuondolewa madarakani – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
Home HABARI KIMATAIFA

Trump apigiwa kura kuondolewa madarakani

Ombeni Osward by Ombeni Osward
Jan 14, 2021
in HABARI KIMATAIFA
0 0
0
Tramp Afungiwa Akunti za Twitter na Facebook

WASHINGTON, DC - NOVEMBER 26: President Donald Trump speaks in the Diplomatic Room of the White House on Thanksgiving on November 26, 2020 in Washington, DC. Trump had earlier made the traditional call to members of the military stationed abroad through video teleconference. (Photo by Erin Schaff - Pool/Getty Images)

0
SHARES
12
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Marekani Donald Trump huenda akawa Rais wa kwanza kuondolewa madarakani siku chache kabla ya muda wake kumalizika baada ya Bunge la wawakilishi kupiga kura ya kumtoa madarakani, kura zilizopigwa ni 232 kwa 197 huku wajumbe 10 wa chama chake wakiunga mkono hoja ya kumuondoa.

Baada ya ya bunge la wawakilishi kupiga kura, hatma ya Rais huyo inabaki mikononi mwa Bunge la Senate ambalo nalo linatarajia kupiga kura kuidhinisha au kukataa maamuzi ya bunge la wawakilishi ya kumuondoa Rais Trump.

Bunge hilo linalodhibitiwa na wabunge wengi wa Democrat lilipiga kura siku ya Jumatano saa kadhaa baada ya mjadala mkali huku walinzi wa kitaifa wakiimarisha usalama ndani na nje ya jumba la bunge hilo

ADVERTISEMENT

Trump ameingia katika historia ya kuwa Rais pekee ambaye amepigiwa kura ya kuondolewa madarakani mara mbili na bunge la wawakilishi, kufungiwa mitandao yake yote ya kijamii yote hiyo ikisababishwa na kauli zake zilizosababisha fujo za waandamanaji waliovamia jengo la bunge na kulishambulia.

 

Bwana Trump anaachia madaraka tarehe 20 mwezi Januari kufuatia kushindwa kwake katika uchaguzi mkuu mwezi Novemba uliomtangaza Joe Biden mshindi.

 

Shirika la kijasusi nchini Marekani FBI limeonya kwamba kuna uwezekano wa kuzuka kwa maandamano katika majimbo yote 50 kabla ya kuapishwa kwa rais mteule Joe Biden wiki ijayo.

ADVERTISEMENT
Ombeni Osward

Ombeni Osward

Related Posts

Hotuba ya mwisho ya Trump
HABARI

Hotuba ya mwisho ya Trump

by Ombeni Osward
Jan 20, 2021
0

Rais wa 45 wa Marekani, Bwana  Donald...

Read more
Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Rwanda yaendeleza Lockdown kupunguza maambukizi ya Corona

Jan 19, 2021
Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Kiongozi wa Upinzani Urusi Akamatwa

Jan 18, 2021
Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Kisa cha kweli: Mapenzi ya Chuo yawachanganya, waenda kanisani kula kiapo

Jan 15, 2021
Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Malawi yatoa siku 3 za Maombolezo

Jan 13, 2021
Papa Francis atoa wito kwa watu kutumia chanjo ya Covid-19

Papa Francis atoa wito kwa watu kutumia chanjo ya Covid-19

Jan 11, 2021
Next Post
Gari la maiti lakamatwa na dawa za kulevya katika jeneza

Gari la maiti lakamatwa na dawa za kulevya katika jeneza

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

I agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.

Currently Playing

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In